Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghasia za kidini zitakwisha CAR?

Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia,amejiuzulu katika siku ya mwisho ya mkutano wa kikanda nchini Chad ambao ulikuwa unatafuta suluhu kwa mgogoro wa kidini unaokumba nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CAR:75 wauwa katika vita vya kidini

Kasisi mmoja katika Jamhuri ya Afrika ya kati anasema kuwa katika kipindi cha wiki moja takriban wakristo 75 wameuawa kutokana na ghasia baina ya vikundi vya kidini mjini Boda.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kuchunguza ghasia CAR

Umoja wa Mataifa umeanzisha uchunguzi wa visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu kutokana na ghasia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati .

 

11 years ago

BBCSwahili

Katibu mkuu wa UN aonya kuhusu ghasia-CAR

Ban Ki-Moon aonya kuwa ghasia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaweza kuligawa taifa hilo kwa misingi ya kidini

 

11 years ago

Mwananchi

“Ziro” zitakwisha lini sekondari za Kata?

Ni takriban miaka 10 sasa tangu kuanzishwa kwa shule za kata hapa nchini kupitia mpango kabambe uitwao “Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES). Msisitizo mkubwa uliwekwa na Serikali kuhakikisha majengo yanajengwa hata kama hakuna mwanafunzi.

 

10 years ago

GPL

KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?

DEREVA wa basi la Abood linalofanya safari zake Dar-Moro akijaribu kuyapita magari manne akiwa mwendo kasi katika maeneo ya Kibamba - Darajani jijini Dar leo huku mbele yake likija lori kwa kasi. Ili kuepusha ajali hiyo, ilibidi madereva wa magari yaliyokuwa mbele waingie pembezoni mwa barabara ili kulinusuru basi hilo lisigongane uso kwa uso na lori. Je, kwa hali hii ni kweli ajali zitakwisha nchini? (Picha na Global Whatsapp...

 

10 years ago

Vijimambo

MAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS

What will you do??????...You dropped your SUV at a car wash for it be washed and left. And by the time you came back, the car had been practically destroyed (Picture above) and the car wash is not insured or have license. An inexperienced driver with no driver license lost control of the SUV and smashed it into a fence. 



 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusajili taasisi za kidini

Taasisi za kidini zinasajiliwa katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Hii ni pamoja na makanisa, misikiti, huduma au taasisi yoyote inayojihusisha na mambo ya kidini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao yakataa ubaguzi wa kidini

Mitandao ya Twitter na facebook imekataa kuchapisha mamia ya jumbe za chuki dhidi ya dini ya kiislamu. .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani