Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa Katoliki sasa kuvunja ndoa

papa1KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya.

Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya dhamira ya Papa huyo kutaka kulifanya Kanisa Katoliki liwe rafiki zaidi na kuendana matakwa ya walio wengi.

Akizungumza kuhusu mabadiliko hayo, Papa alisema si haki kwa wenzi kuishi muda mrefu ‘wakikandamizwa na wingu la shaka’ kuhusu uhalali wa ndoa zao.

Ikumbukwe kwamba ni msimamo wa Papa kumkatalia Mfalme...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO

Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanaisa hilo jijini Dar es Salaam juzi Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi Wanakwaya wa Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, wakiimba wakati wa uzinduzi uuzaji wa tiketi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo

1

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.

2

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi

3

5

Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala,  Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya  harambee ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kanisa Katoliki lafunga Parokia 50

KANISA Katoliki duniani limeamua kufunga zaidi ya parokia 50 katika Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la New York nchini Marekani, katika mkakati wa kanisa hilo kujinusuru na madeni ya parokia zisizojiendesha, ambao haujawahi kufanyika katika miaka 164 ya jimbo hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Membe apongeza Kanisa Katoliki

KANISA Katoliki limepongezwa kwa kusaidia nchi kudumisha amani na utulivu kwa njia ya sala na kauli za huruma juu ya uvumilivu wa kidini.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yalaani sera za kanisa katoliki

Umoja wa mataifa umeishtumu Vatican kwa kuidhinisha na kutumia sera zilizowezesha mapadre kubaka na kuwalawiti maelfu ya watoto.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kanisa Katoliki kortini Poland

Kanisa Katoliki limeshtakiwa na mtu aliyedhulumiwa kimapenzi na padri mmoja huko Poland

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanisa Katoliki linautazamaje ushoga?

Kadinali Raymond Burke ameenguliwa na Papa Francis katika wadhifa wake wa mwenyekiti wa bodi katika kanisa katoliki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanisa katoliki launga maandamano DRC

Mkuu wa kanisa katoliki nchini Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo ameunga mkono maandamano kupinga mabadiliko ya sheria ya uchaguzi

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atetea kanisa la Katoliki

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis ametetea rekodi ya kanisa hilo katika utatuzi wa suala la unyanyasaji wa watoto unaofanywa na mapadri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani