Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa
Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara leo imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mkuu wa manunuzi wa Tanroads, Raphael Chauma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuomba rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mhandisi jela kwa rushwa
NA BEATRICE MOSSES, BABATI
MHANDISI wa maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Baslid Mlay, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Sh milioni 1.5 baada ya kupatikana na hatia ya kuomba rushwa ya Sh milioni saba.
Katika kesi hiyo ya jinai namba 118 ya mwaka 2013, Mlay ambaye alishtakiwa kwa tuhuma sita, alitiwa hatiani kwa makosa matatu ambapo kila kosa alihukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya Sh 500,000.
Akisoma hukumu hiyo mjini Babati,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s72-c/6.jpg)
KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s1600/6.jpg)
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Afisa jela kuhatarisha usalama wa ndege
5 years ago
MichuziAfisa Uhamiaji aliyekula Rushwa ya Shilingi 315,000 kuwajibishwa.
Mh. Wangabo amesema kuwa serikali haiwezi kukubali mtumishi mmoja kuvichafua vyombo vya ulinzi na usalama na kuongeza kuwa mtumishi huyo anatakiwa kuwa fundisho kwa maafisa wengine wa vyombo hivyo kwani...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Maonyesho ya kuunganisha wakulima na fursa za mitaji yafanyika wilayani Babati
Kulia Mkurugenzi wa TAHA Bi. Jacqueline Mkindi akiwa na Mgeni rasmi ndugu Athumani Karunde wakati wa kutembelea mabanda ya waoneshaji.
Mgeni rasmi akipata taarifa za namna TAHA inavyofanya kazi ya kuwahudumia wakulima na kuwaunganisha na fursa za mikopo ya kilimo biashara kutoka kwa maofisa wa TAHA.
Wakulima wakipokea maelezo ya namna ya kuunganishwa na fursa za Mikopo toka kwa maafisa wa TAHA.
Tom Olesika, Mkurugenzi wa Agri Pro Focus akinena jambo wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo.