Afisa Uhamiaji aliyekula Rushwa ya Shilingi 315,000 kuwajibishwa.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Rukwa kumchukulia hatua za kinidhamu Afisa uhamiaji wa Wilaya ya Nkasi aliyechukua Rushwa ya Shilingi 315,000/= kutoka kwa wahamiaji wa nchi ya Burundi aliyekuwa anapita nchini kuelekea nchi za kusini mwa Afrika.
Mh. Wangabo amesema kuwa serikali haiwezi kukubali mtumishi mmoja kuvichafua vyombo vya ulinzi na usalama na kuongeza kuwa mtumishi huyo anatakiwa kuwa fundisho kwa maafisa wengine wa vyombo hivyo kwani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Dec
Chadema kuwajibishwa wanaonuka rushwa
CHAMA cha Domekrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa maazimio makuu matatu yaliyofikiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho, ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha viongozi wake waliochaguliwa ikiwa watajihusisha na vitendo vya rushwa.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Bongo520 Jan
Shilingi bilioni 29,995,000,000 zinawasubiri wateja wa Vodacom kupitia promosheni ya JayMillions
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s72-c/unnamed.jpg)
AFISA UHAMIAJI ZANZIBAR, MAHAFOUDH ABDALLAH ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFSAI YA UWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9XiKztQpFco/VagwO3vSURI/AAAAAAADyFI/aHclJnL3ofc/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JqLuslmgYzA/Vagwo-ljNGI/AAAAAAADyFo/4ELh_EKmMjc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HTUlItJxCys/Vagwto43zrI/AAAAAAADyFw/fTsXS-Lsorg/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVf3cuJ57e4/VagwxMtrBMI/AAAAAAADyF4/vpAI3cpoapY/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Apr
‘Shilingi 2,000 ziliniponza nikaibiwa mtoto’