Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa
Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa kupokea rushwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Afisa FIFA epelekwa Marekani kushtakiwa
Mtu ambaye ndiye aliyeratibu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 huko nchini Brazil Jose Maria Marin ametolewa kutoka Uswis kwenda nchini Marekani ili akashtakiwe.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa
Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara leo imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mkuu wa manunuzi wa Tanroads, Raphael Chauma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuomba rushwa.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal
Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7
Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7
5 years ago
MichuziAfisa Uhamiaji aliyekula Rushwa ya Shilingi 315,000 kuwajibishwa.
Mh. Wangabo amesema kuwa serikali haiwezi kukubali mtumishi mmoja kuvichafua vyombo vya ulinzi na usalama na kuongeza kuwa mtumishi huyo anatakiwa kuwa fundisho kwa maafisa wengine wa vyombo hivyo kwani...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekiri kuwapo kwa baadhi ya watumishi wake wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, hivyo kuchafua sifa ya taasisi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili28 May
Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa
Rais wa FIFA Sepp Blatter ameibuka na kuzungumzia kashafa ya rushwa ndani ya shirikisho hilo kwa kusema wale wao watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo hawana tena ndani ya shirikisho hilo la Soka Duniani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania