Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa

Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa kupokea rushwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu

AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisa FIFA epelekwa Marekani kushtakiwa

Mtu ambaye ndiye aliyeratibu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 huko nchini Brazil Jose Maria Marin ametolewa kutoka Uswis kwenda nchini Marekani ili akashtakiwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa

Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara leo imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mkuu wa manunuzi wa Tanroads, Raphael Chauma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuomba rushwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal

Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7

Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7

 

5 years ago

Michuzi

Afisa Uhamiaji aliyekula Rushwa ya Shilingi 315,000 kuwajibishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Rukwa kumchukulia hatua za kinidhamu Afisa uhamiaji wa Wilaya ya Nkasi aliyechukua Rushwa ya Shilingi 315,000/= kutoka kwa wahamiaji wa nchi ya Burundi aliyekuwa anapita nchini kuelekea nchi za kusini mwa Afrika.

Mh. Wangabo amesema kuwa serikali haiwezi kukubali mtumishi mmoja kuvichafua vyombo vya ulinzi na usalama na kuongeza kuwa mtumishi huyo anatakiwa kuwa fundisho kwa maafisa wengine wa vyombo hivyo kwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekiri kuwapo kwa baadhi ya watumishi wake wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, hivyo kuchafua sifa ya taasisi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa

Rais wa FIFA Sepp Blatter ameibuka na kuzungumzia kashafa ya rushwa ndani ya shirikisho hilo kwa kusema wale wao watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo hawana tena ndani ya shirikisho hilo la Soka Duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani