Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Shilingi 2,000 ziliniponza nikaibiwa mtoto’

>Aprili 6, mwaka huu ni siku ambayo mkazi wa  Kijiji cha Kibanda wilayani Kyela, Mboka Mwakikagile (20) haitaisahau.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Shilingi bilioni 29,995,000,000 zinawasubiri wateja wa Vodacom kupitia promosheni ya JayMillions

Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku. Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi […]

 

10 years ago

GPL

JISHINDE SHILINGI 50,000 KUPITIA GLOBAL FORUM

TUMA MADA AMBAYO UNAHISI INAKWENDA NA WAKATI NA INA MVUTO KWA WASOMAJI KATIKA GLOBAL FORUM ILIYOPO KWENYE TOVUTI YA WWW.GLOBALPUBLISHERS.INFO MTU ATAKAYETUMA MADA NZURI ITAKAYOSOMWA SANA NA KUTOLEWA MAONI ATAJISHINDIA SHILINGI 50,000 KWA WIKI. JINSI YA KUSHIRIKI:
1. LAZIMA UWE MWANACHAMA WA TOVUTI HII, KAMA SIYO JISAJILI SASA UWEZE…

 

11 years ago

Michuzi

TIPER YAIKABIDHI SERIKALI GAWIO LA SHILINGI 1,275,000.00

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia). Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair (kushoto)...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

Afisa Uhamiaji aliyekula Rushwa ya Shilingi 315,000 kuwajibishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Rukwa kumchukulia hatua za kinidhamu Afisa uhamiaji wa Wilaya ya Nkasi aliyechukua Rushwa ya Shilingi 315,000/= kutoka kwa wahamiaji wa nchi ya Burundi aliyekuwa anapita nchini kuelekea nchi za kusini mwa Afrika.

Mh. Wangabo amesema kuwa serikali haiwezi kukubali mtumishi mmoja kuvichafua vyombo vya ulinzi na usalama na kuongeza kuwa mtumishi huyo anatakiwa kuwa fundisho kwa maafisa wengine wa vyombo hivyo kwani...

 

11 years ago

GPL

JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA SHILINGI 5,000 KWA KUTABIRI MECHI YA CHELSEA, ARSENAL

Kutabiri tembelea page yetu ya facebook ==> www.facebook.com/Globalpublishers MWISHO WA KUTUMA MATOKEO NI SAA 9:40 ALASIRI

 

9 years ago

Dewji Blog

TASAF yarudisha zaidi ya shilingi 2,980,000/= zilizokosa wahusika baada ya kufa

SAM_0218

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Itigi majengo wakiwa katika mstari wakisubiri kupokea malipo yao kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF awamu ya tatu).

SAM_0226

Walipaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini wakiendelea na ulipaji wa malipo hayo katika Kijiji cha Sukamahela, wilayani Manyoni.

SAM_0220

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri malipo yao kwenye ofisi za Kijiji hicho.

SAM_0228

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Sukamahela wasiojiweza wakiletwa kwenye ofisi za...

 

5 years ago

Michuzi

JAMBO YAMCHANGIA SHILINGI 500,000/= KUONGEZA MTAJI MWANAMKE SHUJAA MWENYE ULEMAVU


Kampuni ya Utengenezaji na Usambazaji wa Vinywaji baridi ‘Jambo Food Products Limited’ ya mkoani Shinyanga imemsaidia mtaji wa shilingi 500,000/= Mwanamke mwenye ulemavu Happiness Kwigema anayejishughulisha na biashara ya pipi na sabuni za kufulia Mjini Shinyanga.

Fedha hizo Taslimu zimekabidhiwa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ambayo katika mkoa wa Shinyanga yaliyofanyika katika kijiji cha Iselamagazi kata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani