Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa wanyamapori tisa wapanda kortini

Maofisa wanyamapori tisa wa Pori la Akiba la Selous, juzi walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Rufiji mkoani Pwani kwa kosa la kujaribu kuua kwa kukusudia na kujeruhi wawindaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali

OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa Elimu 2 kortini

MAOFISA Elimu wawili wa Manispaa ya Tabora na Ofisa Utamaduni, wamefikishwa kujibu mashitaka mawili ya kuhujumu uchumi.

 

11 years ago

Habarileo

Ufaulu kidato IV wapanda

Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk Charles MsondeUFAULU wa watahiniwa wa kidato cha nne mwaka jana umeongezeka kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya mitihani hiyo kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).

 

9 years ago

Habarileo

Ufaulu la 7 Dar wapanda

WAKATI ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba ukipanda kwa mkoa wa Dar es Salaam, imeelezwa kuwa wanafunzi 49,063 sawa na asilimia 83.17 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mkoani humo wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wastani wa Joto wapanda:Utafiti

Watalaam wa hali ya hewa wa marekani wamesema wastani wa joto la dunia la mwezi uliopita lilikuwa la kiwango cha juu.

 

9 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa Stakishari wapanda kizimbani

Watu wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka saba ya mauaji katika Kituo cha Polisi cha Staki Shari kilichopo Wilaya ya Ilala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamazingira wapanda miti UDOM

KLABU ya Wanamazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Kitivo cha Elimu kwa kushirikiana na uongozi wa serikali ya wanafunzi, wamepanda miti ya kivuli katika kitivo hicho ambacho kinatumia umwagiliaji...

 

10 years ago

Mtanzania

Udhamini Ligi Kuu wapanda

Pg 32NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom, imeongeza udhamini wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa asilimia 40, kutoka shilingi bilioni 1.6 iliyopita hadi shilingi bilioni 2.3 kwa mwaka.

Vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa ligi hiyo, jana imesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuendelea kuusaidia mpira, mkataba wenye thamani ya shilingi bilioni 6.6.

Akizungumza jana katika hafla hiyo ya kusaini mkataba iliyofanyika Makao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon sasa wapanda ndege ya Brazil

Wanasoka wa Cameroon wameridhika na marupurupu yao na kuingia kwenye ndege kuelekea Brazil kwa Kombe la dunia baada ya kususia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani