Nkurunziza azungumza kuhusu uchaguzi
Marekani na jumuiya ya Ulaya wote wameitisha kuahirishwa kw a uchaguzi wa Burundi kufuatia wiki kadhaa za ghasia zinazopinga ugombeaji wa Pierre Nkurunziza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015
11 years ago
Michuzi
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA


11 years ago
GPL
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
10 years ago
BBCSwahili17 May
Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab
10 years ago
Mtanzania21 May
Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa wabunge
Bujumbura, BURUNDI
RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameahirisha uchaguzi wa wabunge uliokuwa ufanyike Jumanne wiki ijayo kwa siku 10, bila kugusia ule wa urais.
Amri hiyo imetolewa huku makabiliano kati ya polisi na waandamanaji yakiibuka na kutishia umwagikaji wa damu katika taifa hilo.
Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe aliliambia Shirika la Habari la Ufaransa (AFP) kuwa kutokana na jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia, ni vema kusogeza mbele kidogo uchaguzi...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Nkurunziza:hatajiondoa kwenye uchaguzi
10 years ago
Habarileo18 May
Nkurunziza hadharani, uchaguzi hatihati
KWA mara ya kwanza tangu kuwapo jaribio la kumpindua Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kiongozi huyo jana alijitokeza hadharani kuzungumza na waandishi wa habari.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi