Nkurunziza:hatajiondoa kwenye uchaguzi
Msemaji wa rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameapa kuwa rais huyo hatajiondoa katika uchaguzi mkuu ujao licha ya shinikizo dhidi yake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 May
Nkurunziza azungumza kuhusu uchaguzi
10 years ago
Mtanzania21 May
Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa wabunge
Bujumbura, BURUNDI
RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameahirisha uchaguzi wa wabunge uliokuwa ufanyike Jumanne wiki ijayo kwa siku 10, bila kugusia ule wa urais.
Amri hiyo imetolewa huku makabiliano kati ya polisi na waandamanaji yakiibuka na kutishia umwagikaji wa damu katika taifa hilo.
Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe aliliambia Shirika la Habari la Ufaransa (AFP) kuwa kutokana na jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia, ni vema kusogeza mbele kidogo uchaguzi...
10 years ago
Habarileo18 May
Nkurunziza hadharani, uchaguzi hatihati
KWA mara ya kwanza tangu kuwapo jaribio la kumpindua Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kiongozi huyo jana alijitokeza hadharani kuzungumza na waandishi wa habari.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili12 May
Rais Nkurunziza asema uchaguzi ni lazima
10 years ago
StarTV21 May
Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi.
Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi .
Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi juma lililopita na vurugu zilizofuatia ni bora kuahirisha uchaguzi huo kwa muda.
”Uchaguzi huo wa ubunge ulikuwa umeratibiwa kufanyika tarehe 26 mwezi Mei lakini sasa inatubidi kuihairisha ili kuwasikiza washirika wetu wa kimataifa pamoja na tume ya uchaguzi ambayo pia inatumia muda huo kutatua maswali...
5 years ago
BBCSwahili19 May
Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEyWK0Rm8edDuzTYkexiDvdilltB2NbWK76Dm6w0dd69ksdBbFg-GT2dQotdBoUvTQXtJ-Yanh6vdzTnOHARN7lZ/NKURUNZIZA.jpg?width=650)
RAIS PIERRE NKURUNZIZA ASOGEZA MBELE UCHAGUZI WA WABUNGE BURUNDI