Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi.
Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi .
Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi juma lililopita na vurugu zilizofuatia ni bora kuahirisha uchaguzi huo kwa muda.
”Uchaguzi huo wa ubunge ulikuwa umeratibiwa kufanyika tarehe 26 mwezi Mei lakini sasa inatubidi kuihairisha ili kuwasikiza washirika wetu wa kimataifa pamoja na tume ya uchaguzi ambayo pia inatumia muda huo kutatua maswali...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 May
Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa wabunge
Bujumbura, BURUNDI
RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameahirisha uchaguzi wa wabunge uliokuwa ufanyike Jumanne wiki ijayo kwa siku 10, bila kugusia ule wa urais.
Amri hiyo imetolewa huku makabiliano kati ya polisi na waandamanaji yakiibuka na kutishia umwagikaji wa damu katika taifa hilo.
Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe aliliambia Shirika la Habari la Ufaransa (AFP) kuwa kutokana na jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia, ni vema kusogeza mbele kidogo uchaguzi...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PWy1nYeDavA/Vi44B10tzoI/AAAAAAAADI8/vQMGdvcNqdw/s72-c/BUMBULI.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Rpy73Ww7DYw/Vi5oS3W0_RI/AAAAAAAADKs/-RlW7cZXHLg/s72-c/GANDO.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WjsTdDfUFZI/VaOIWbaBS6I/AAAAAAAHpSU/YAlBb_5hQ34/s72-c/images.jpg)
ONDOA KIFRIJI KWA SIKU KUMI NA NNE TU....
![](http://1.bp.blogspot.com/-WjsTdDfUFZI/VaOIWbaBS6I/AAAAAAAHpSU/YAlBb_5hQ34/s1600/images.jpg)
Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji .
BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU
( Tshs.50,000/=)
Tunapatikana jijini Dar Es salaam, eneo la TABATA karibu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gF9JfLwYxjM/Ux2ZDQ14VsI/AAAAAAAFSpI/U59sgiN1y5s/s72-c/neemaherbalist.jpg)
ONDOA KITAMBI KWA SIKU KUMI NA NNE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gF9JfLwYxjM/Ux2ZDQ14VsI/AAAAAAAFSpI/U59sgiN1y5s/s1600/neemaherbalist.jpg)
kitambi ndani ya siku kumi na nne.
Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji .
BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU ( Tshs.50,000/=)
Tunapatikana jijini Dar Es salaam, katika eneo la CHANGANYIKEN karibu na CHUO CHA TAKWIMU.
Kwa wasio weza kufika...
10 years ago
Michuzi15 Jan
ONDOA KITAMBI KWA SIKU KUMI NA NNE!!!
Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji.
BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU (Tsh 50,000/=)
Kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunawapelekea dawa mahali walipo...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: China inaweza kuwapima wakazi wote wa Wuhan kwa siku kumi pekee?
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s72-c/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
MATOKEO KWA NGAZI YA UBUNGE KWA MAJIMBO YALIYOTANGWAZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAYA HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s640/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
Jimbo la TundumaUbunge: Mwakajoka Frank (Chadema)...