Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi.

Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi .

Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi juma lililopita na vurugu zilizofuatia ni bora kuahirisha uchaguzi huo kwa muda.

”Uchaguzi huo wa ubunge ulikuwa umeratibiwa kufanyika tarehe 26 mwezi Mei lakini sasa inatubidi kuihairisha ili kuwasikiza washirika wetu wa kimataifa pamoja na tume ya uchaguzi ambayo pia inatumia muda huo kutatua maswali...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nkurunziza aahirisha uchaguzi wa wabunge

Rais PierreBujumbura, BURUNDI
RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameahirisha uchaguzi wa wabunge uliokuwa ufanyike Jumanne wiki ijayo kwa siku 10, bila kugusia ule wa urais.
Amri hiyo imetolewa huku makabiliano kati ya polisi na waandamanaji yakiibuka na kutishia umwagikaji wa damu katika taifa hilo.
Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe aliliambia Shirika la Habari la Ufaransa (AFP) kuwa kutokana na jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia, ni vema kusogeza mbele kidogo uchaguzi...

 

10 years ago

Michuzi

ONDOA KIFRIJI KWA SIKU KUMI NA NNE TU....

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji  wa   dawa  mbalimbali  za  asili.   Tunayo  dawa  nzuri  ya  asili  inayo  ondoakitambi  na kulifanya  tumbo  lako  kuwa  flat  kabisa  ndani  ya siku  kumi  na  nne.
Dawa  ni  ya  asili  kabisa " Pure  Herbal", haijachanganywa  na kemikali  yoyote  na  haina  side  effects  kwa  mtumiaji .

BEI  YAKE  NI  SHILINGI  ELFU  HAMSINI  TU
 ( Tshs.50,000/=)
Tunapatikana  jijini  Dar  Es  salaam, eneo  la  TABATA  karibu...

 

11 years ago

Michuzi

ONDOA KITAMBI KWA SIKU KUMI NA NNE.

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji  wa   dawa  mbalimbali  za  asili.   Tunayo  dawa  nzuri  ya  asili  inayo  ondoa
kitambi   ndani  ya  siku  kumi  na  nne.

Dawa  ni  ya  asili  kabisa " Pure  Herbal", haijachanganywa  na kemikali  yoyote  na  haina  side  effects  kwa  mtumiaji .

BEI  YAKE  NI  SHILINGI  ELFU  HAMSINI  TU  ( Tshs.50,000/=)

Tunapatikana jijini  Dar  Es  salaam, katika  eneo  la  CHANGANYIKEN  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU.

Kwa  wasio weza  kufika...

 

10 years ago

Michuzi

ONDOA KITAMBI KWA SIKU KUMI NA NNE!!!

Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunayo dawa nzuri ya asili inayo ondoa kitambi na kulifanya tumbo lako kuwa flat kabisa ndani ya siku kumi na nne.
Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji.
BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU (Tsh 50,000/=)
Kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunawapelekea dawa mahali walipo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: China inaweza kuwapima wakazi wote wa Wuhan kwa siku kumi pekee?

Mji wa Wuhan nchini China ulio chanzo cha mlipuko wa Covid-19 imetaka kuwapima wakazi wa mji huo milioni 11 kwa muda mfupi, lakini hatua hii inaweza kufanikiwa?

 

9 years ago

Vijimambo

MATOKEO KWA NGAZI YA UBUNGE KWA MAJIMBO YALIYOTANGWAZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAYA HAPA

Baadhi ya wabunge wameendelea kutetea majimbo yao kwa kupata kura za kishindo, wakiongozwa na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliyetetea jimbo lake la Hai, Joshua Nassar (Chadema, Arumeru Mashariki), Stephen Masele (CCM, Shinyanga Mjini), Jenister Mhagama (CCM, Peramiho), Silvestry Koka (CCM, Kibaha), David Silinde (Chadema,Momba), Aesh Hilaly (CCM, Sumbawanga Mjini), Joseph Selasini (Chadema,Rombo), Profesa Jumanne Maghembe (CCM Mwanga).

Jimbo la TundumaUbunge: Mwakajoka Frank (Chadema)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani