Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Putin aamauru majeshi kuondoka mpakani

Rais wa Urusi Vladimir Putin amewaamuru askari jeshi walioko karibu na mpaka wa Ukraine kuondoka katika maeneo ya Rostov, Belgorod na Bryansk

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Putin ataka Ukraine kuonda majeshi

Rais wa Urusi, Vladmir Putin, ametoa wito kwa Ukraine iyaondoe majeshi yake Kusini Mashariki mwa taifa hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali” dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama mpakani

Wahamiaji wamekwama katika eneo la mpaka kati ya Hungary na Serbia

 

10 years ago

Mwananchi

Silaha za kivita zauzwa mpakani

Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na ujangili na uhalifu mwingine wa kutumia silaha ukiwamo ujambazi unaotokea maeneo mbalimbali, imebainika kuwa silaha za kivita zimeendelea kupenyezwa na kuuzwa nchini kutoka nchi jirani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wamisri waua wasudan 5 mpakani

Maafisa wa mpakani wa Misri wamewauwa wahamiaji 5 wa Sudan na kuwajerihi wengine 6 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Msaada wa Urusi waelekea mpakani.

Msafara wa misaada kutoka Urusi unaelekea kwenye kivukio cha mpaka wa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri

Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri yadumisha ulinzi mpakani

Jeshi nchini misri linaripotiwa kuanza kutekeleza mpango wa kupanua eneo lake lenye ulinzi mkali kwenye mpaka kati ya nchi hiyo na ukanda wa Gaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani