Misri yadumisha ulinzi mpakani
Jeshi nchini misri linaripotiwa kuanza kutekeleza mpango wa kupanua eneo lake lenye ulinzi mkali kwenye mpaka kati ya nchi hiyo na ukanda wa Gaza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri
Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Silaha za kivita zauzwa mpakani
Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na ujangili na uhalifu mwingine wa kutumia silaha ukiwamo ujambazi unaotokea maeneo mbalimbali, imebainika kuwa silaha za kivita zimeendelea kupenyezwa na kuuzwa nchini kutoka nchi jirani.
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
Msaada wa Urusi waelekea mpakani.
Msafara wa misaada kutoka Urusi unaelekea kwenye kivukio cha mpaka wa Ukraine
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wamisri waua wasudan 5 mpakani
Maafisa wa mpakani wa Misri wamewauwa wahamiaji 5 wa Sudan na kuwajerihi wengine 6 .
11 years ago
Mwananchi23 May
Halmashauri yajenga masoko mpakani
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera, imepanga kujenga masoko ya kimkakati mpakani na nchi jirani ili wafanyabiasha wa maeneo hayo wanunue na kuuza bidhaa ili kuchochea ongezeko la mapato.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko:H wamefariki klatika kambi ya wakimbizi.
11 years ago
BBCSwahili19 May
Putin aamauru majeshi kuondoka mpakani
Rais wa Urusi Vladimir Putin amewaamuru askari jeshi walioko karibu na mpaka wa Ukraine kuondoka katika maeneo ya Rostov, Belgorod na Bryansk
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania