Halmashauri yajenga masoko mpakani
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera, imepanga kujenga masoko ya kimkakati mpakani na nchi jirani ili wafanyabiasha wa maeneo hayo wanunue na kuuza bidhaa ili kuchochea ongezeko la mapato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Ethiopia yajenga darubini
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Korea yajenga wodi ya wajawazito
SERIKALI ya Korea Kusini, kwa kushirikiana na halmashauri ya kijiji cha Zinga wilayani Bagamoyo, wamejenga wodi ya wajawazito yenye thamani ya sh. milioni 32. Akizungumza katika ufunguzi wa wodi hiyo...
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Basata yajenga hoja Miss Tanzania
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanapa yajenga nyumba za watalii wa ndani
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Exim yajenga vyoo shule ya msingi Kilakala
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi vyoo vya kisasa kwa shule ya msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam ikiwa ni jitihada zake za kuboresha usafi na mazingira ya kujifunzia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s72-c/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA YAJENGA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Aug
TPB Yajenga Vyoo na Mfumo wa Maji Shule ya Msingi Kipampa
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akikata utepe kuzindua msaada wa vyoo na mfumo wa maji safi kwenye shule ya Msingi Kipampa, Kigoma. Wa kwanza kulia ni Meneja wa Benki ya Posta Tawi la Kigoma, Fidelis Ndahani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/E80A5619.jpg)
![Naibu Mstahiki Meya wa Kigoma, Mh. Ruhomvya Rashid Ruhomvya, akisikiliza hotuba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi, wakati wa sherehe ya makabidhiano ya msaada wa Vyoo na mfumo wa maji kwenye shule ya Msingi Kipampa. Wengine kutoka kulia ni Meneja Mahusiano wa TPB, Noves Moses na Meneja wa TPB, Tawi la Kigoma, Fidelis Ndahani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/E80A5596.jpg)
9 years ago
BBCSwahili16 Sep