Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ethiopia yajenga darubini

Hii ndio sura mpya ya tamaa ya Ethiopia ya mpango wa kuangaza anga za mbali nchini humo. Darubini hizi zimejengwa kwa kipindi cha miaka mitatu na kugharimu dola milioni nne.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Akaunti za FIFA zapigwa darubini

Benki za Switzerland zimeripoti shughuli zisizoeleweka zilizokuwa zikiendelea katika akaunti za benki za shirikisho la soka duniani FIFA

 

11 years ago

Mwananchi

Handebezyo; ‘Darubini ya asili’ iliyotelekezwa Ukerewe

Wilaya ya Ukerewe ingeweza kuwa moja ya maeneo ya vivutio vya utalii katika taifa letu, kama historia na utajiri wa maliasili zake ungeendelezwa na kutangazwa.

 

10 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Je, umeandaa mkoba kubebea fedha 2025

Mtanisamehe ndugu zangu kwamba leo darubini yetu imegeuka kuwa hotuba kwa kina baba na kina mama wa nchi hii tuipendayo. Shilingi ya Tanzania imezidi kuzorota sana, uchumi wetu umezidi kuporomoka, ndiyo maana nasema wanaume na wanawake wa nchi hii waandae mabegi mawili na mikoba miwilimiwili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Korea yajenga wodi ya wajawazito

SERIKALI ya Korea Kusini, kwa kushirikiana na halmashauri ya kijiji cha Zinga wilayani Bagamoyo, wamejenga wodi ya wajawazito yenye thamani ya sh. milioni 32. Akizungumza katika ufunguzi wa wodi hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri yajenga masoko mpakani

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera, imepanga kujenga masoko ya kimkakati mpakani na nchi jirani ili wafanyabiasha wa maeneo hayo wanunue na kuuza bidhaa ili kuchochea ongezeko la mapato.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (1)

Nchi yetu iko katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2015, sote tunatambua kuwa kwa mara ya kwanza uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa na uliopitiliza na kuna masuala kadhaa ambayo lazima niyaseme hapa ili itusaidie kuwa na uchaguzi wa amani na utulivu kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi itahakikisha kuwa uchaguzi unakuwa huru na wa haki.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO :Nchi hii haikuwa na kiongozi miaka 10 iliyopita?

Tangu Rais Pombe Magufuli alihutubie na kulizindua Bunge la Kumi na Moja Ijumaa Novemba 20, mambo kadhaa yamewashangaza wafuatiliaji wa masuala hapa nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)

Ni jukumu la wagombea na wananchi kujua mifumo ya halmashauri na namna zinavyofanya kazi katika maeneo ya miradi ya maendeleo, ukusanyaji kodi za ndani, upokeaji wa ruzuku kutoka serikalini, upokeaji wa fedha za miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kwenda kwenye halmashauri moja kwa moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani