Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARUBINI YA MTATIRO : Je, umeandaa mkoba kubebea fedha 2025

Mtanisamehe ndugu zangu kwamba leo darubini yetu imegeuka kuwa hotuba kwa kina baba na kina mama wa nchi hii tuipendayo. Shilingi ya Tanzania imezidi kuzorota sana, uchumi wetu umezidi kuporomoka, ndiyo maana nasema wanaume na wanawake wa nchi hii waandae mabegi mawili na mikoba miwilimiwili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)

Ni jukumu la wagombea na wananchi kujua mifumo ya halmashauri na namna zinavyofanya kazi katika maeneo ya miradi ya maendeleo, ukusanyaji kodi za ndani, upokeaji wa ruzuku kutoka serikalini, upokeaji wa fedha za miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kwenda kwenye halmashauri moja kwa moja.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO :Nchi hii haikuwa na kiongozi miaka 10 iliyopita?

Tangu Rais Pombe Magufuli alihutubie na kulizindua Bunge la Kumi na Moja Ijumaa Novemba 20, mambo kadhaa yamewashangaza wafuatiliaji wa masuala hapa nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (1)

Nchi yetu iko katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2015, sote tunatambua kuwa kwa mara ya kwanza uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa na uliopitiliza na kuna masuala kadhaa ambayo lazima niyaseme hapa ili itusaidie kuwa na uchaguzi wa amani na utulivu kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi itahakikisha kuwa uchaguzi unakuwa huru na wa haki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yajenga darubini

Hii ndio sura mpya ya tamaa ya Ethiopia ya mpango wa kuangaza anga za mbali nchini humo. Darubini hizi zimejengwa kwa kipindi cha miaka mitatu na kugharimu dola milioni nne.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkoba: Serikali ikutane na walimu

SERIKALI imetakiwa kuacha kuwaonea walimu na baada yake wakukutana na kujadiliana juu ya makato ya shilingi 10000 ya ujenzi wa maabara wanaokatwa walimu wa jiji la Mwanza. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Sina mgombea kwenye mkoba’

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Tabora Mjini, Moshi Nkonkota, amekanusha malalamiko yaliyotolewa na Mbunge Ismail Rage, kuwa ana mgombea kwenye mkoba aliyemuandaa kuwania jimbo hilo. Akizungumza na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Akaunti za FIFA zapigwa darubini

Benki za Switzerland zimeripoti shughuli zisizoeleweka zilizokuwa zikiendelea katika akaunti za benki za shirikisho la soka duniani FIFA

 

9 years ago

Mtanzania

Mtatiro: Tutavunja makufuli

MtatiroMGOMBEA ubunge wa   Segerea, Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amesema atahakikisha wanavunja makufuli yote.

“ Naombeni wananchi tuseme Magufuli…no, in one…kwa miaka yote katika jimbo hili hakuna huduma muhimu ya maji, miundombinu..iwe jua au mvua barabara hazipitiki bado CCM wanataka tuwapeleke Ikulu haiwezekani,”alisema Mtatiro.

Alisema mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli alikuwa wizara inayoshughulika na ujenzi lakini matokeo yake ameshindwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani