Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)

Ni jukumu la wagombea na wananchi kujua mifumo ya halmashauri na namna zinavyofanya kazi katika maeneo ya miradi ya maendeleo, ukusanyaji kodi za ndani, upokeaji wa ruzuku kutoka serikalini, upokeaji wa fedha za miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kwenda kwenye halmashauri moja kwa moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (1)

Nchi yetu iko katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2015, sote tunatambua kuwa kwa mara ya kwanza uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa na uliopitiliza na kuna masuala kadhaa ambayo lazima niyaseme hapa ili itusaidie kuwa na uchaguzi wa amani na utulivu kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi itahakikisha kuwa uchaguzi unakuwa huru na wa haki.

 

10 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO : Je, umeandaa mkoba kubebea fedha 2025

Mtanisamehe ndugu zangu kwamba leo darubini yetu imegeuka kuwa hotuba kwa kina baba na kina mama wa nchi hii tuipendayo. Shilingi ya Tanzania imezidi kuzorota sana, uchumi wetu umezidi kuporomoka, ndiyo maana nasema wanaume na wanawake wa nchi hii waandae mabegi mawili na mikoba miwilimiwili.

 

9 years ago

Mwananchi

DARUBINI YA MTATIRO :Nchi hii haikuwa na kiongozi miaka 10 iliyopita?

Tangu Rais Pombe Magufuli alihutubie na kulizindua Bunge la Kumi na Moja Ijumaa Novemba 20, mambo kadhaa yamewashangaza wafuatiliaji wa masuala hapa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.

 

9 years ago

StarTV

Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao

Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa  kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.

Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea  katika kuchochea mabadiliko.

 Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Chama cha UPDP chasimamisha wagombea wanne kwenye uchaguzi ujao Singida

DSC_7629Mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania .Urais kupitia chama chake hicho  uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25,  mwaka huu. Tayari chama hicho kimeweka wazi kuwa kinasimamisha wagombea wanne katika baadhi ya majimbo ya ndani ya Mkoa wa Singida katika kinyang’anyiro hicho. (Picha na Maktaba ya modewjiblog).

Na, Jumbe Ismailly

 (SINGIDA)- Chama cha UNITED PEOPLES DEMOCRATIC...

 

11 years ago

Mwananchi

Usajili huu mpya utamaliza shida kwenye uchaguzi?

>Tangu mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa nchini mwaka 1992, kumekuwa na malalamiko mengi kutoka pande mbalimbali zaidi kwenye vyama vya upinzani vikidai mfumo wa usimamizi wake umejaa walakini.

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Atoa ya Moyoni Wenzake Kutumika Kwenye Uchaguzi Huu

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’  afunguka haya kuelekea October 25 siki ya kupiga kura.

 (FREEDOM OF SPEECH)

Kijana mwenye upeo mkubwa na kuona mbali anayetambua matatizo magumu ya chi hii hawezi hakapost ujinga kwa kusema chagua chama flani kwa kufuata mkumbo au kupewa maagizo na watu wenye maslahi yao binafsi.

Kwa kupost kitu ambacho hata akijui na wala yeye mwenyewe hana uhakika wa maisha yake ya baadaye dahaaa ni aibu kubwa sana kaa tafakari...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU BAADAYE MWAKA HUU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanbzibar Balozi Seif akijibu maswali aliyoulizwa na Wanahabari wa Shirika la Magazeti ya Serikali la Zanzibar leo Hafsa Golo aliyepo Kati kati na Tatu Makame wa kwanza kushoto. Ripota wa Shirika la Utangazaji Tanzania {TBC } Marine Hassan akiporomosha maswali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa mahojiano yao kuhusu maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Picha na – OMPR – ZNZ.
                                 ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani