DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)
Ni jukumu la wagombea na wananchi kujua mifumo ya halmashauri na namna zinavyofanya kazi katika maeneo ya miradi ya maendeleo, ukusanyaji kodi za ndani, upokeaji wa ruzuku kutoka serikalini, upokeaji wa fedha za miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kwenda kwenye halmashauri moja kwa moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Sep
DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (1)
10 years ago
Mwananchi06 Jul
DARUBINI YA MTATIRO : Je, umeandaa mkoba kubebea fedha 2025
9 years ago
Mwananchi29 Nov
DARUBINI YA MTATIRO :Nchi hii haikuwa na kiongozi miaka 10 iliyopita?
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Chama cha UPDP chasimamisha wagombea wanne kwenye uchaguzi ujao Singida
Mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania .Urais kupitia chama chake hicho uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tayari chama hicho kimeweka wazi kuwa kinasimamisha wagombea wanne katika baadhi ya majimbo ya ndani ya Mkoa wa Singida katika kinyang’anyiro hicho. (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Na, Jumbe Ismailly
(SINGIDA)- Chama cha UNITED PEOPLES DEMOCRATIC...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Usajili huu mpya utamaliza shida kwenye uchaguzi?
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Ray Atoa ya Moyoni Wenzake Kutumika Kwenye Uchaguzi Huu
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’ afunguka haya kuelekea October 25 siki ya kupiga kura.
(FREEDOM OF SPEECH)
Kijana mwenye upeo mkubwa na kuona mbali anayetambua matatizo magumu ya chi hii hawezi hakapost ujinga kwa kusema chagua chama flani kwa kufuata mkumbo au kupewa maagizo na watu wenye maslahi yao binafsi.
Kwa kupost kitu ambacho hata akijui na wala yeye mwenyewe hana uhakika wa maisha yake ya baadaye dahaaa ni aibu kubwa sana kaa tafakari...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU BAADAYE MWAKA HUU
...