Chama cha UPDP chasimamisha wagombea wanne kwenye uchaguzi ujao Singida
Mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania .Urais kupitia chama chake hicho uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tayari chama hicho kimeweka wazi kuwa kinasimamisha wagombea wanne katika baadhi ya majimbo ya ndani ya Mkoa wa Singida katika kinyang’anyiro hicho. (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Na, Jumbe Ismailly
(SINGIDA)- Chama cha UNITED PEOPLES DEMOCRATIC...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA TAREHE SHUGHULI/MAELEZO 1 15 – 30/06/2020 Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni. 2 15 – 30/06/2020 Kutafuta wadhamini Mikoani. VIKAO VYA UCHUJAJI 3 06 – 07/07/2020 ...
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi14 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nw7BRdLQbRU/XuUCymeO7nI/AAAAAAALtrw/dnjCfj6dWuESU7NuDya0uYcXbvAJCm59gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-5.jpg)
KAILIMA ATEMBELEA OFISI ZA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA (CCWT) DODOMA KUONA MWENENDO WA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA CHAMA HICHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nw7BRdLQbRU/XuUCymeO7nI/AAAAAAALtrw/dnjCfj6dWuESU7NuDya0uYcXbvAJCm59gCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-5.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa maelekezo ya Serikali kwa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) hawapo pichani, baada ya kukuta Ofisi zao zikiwa zimefungwa na hakuna maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Chama hicho. Kailima, ameelekeza Wanachama wote wanaotaka kushiriki kwenye Mkutano wa...
10 years ago
Vijimambo31 Jul
CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.
![unnamed (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-44.jpg)
![unnamed (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-53.jpg)
![unnamed (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-62.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SINGIDA: Watakiwa kusimamia shughuli zao kwa kuzingatia Haki,Uadilifu na kutopendela chama!
Mkuu wa wilaya ya Singida,Bwana Saidi Amanzi(aliyesimama) akifungua semina ya siku mbili kwa wasimamizi 42 kutoka jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na. Jumbe Ismailly
[SINGIDA] MKUU wa Wilaya ya Singida,Saidi Amanzi amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli za uchaguzi kwa kuzingatia haki,uadilifu,bila upendeleo na kwa kutoegemea upande wowote.
Mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo kwenye ufunguzi wa semina ya siku...
9 years ago
Mwananchi13 Sep
DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)