Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Sina mgombea kwenye mkoba’

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Tabora Mjini, Moshi Nkonkota, amekanusha malalamiko yaliyotolewa na Mbunge Ismail Rage, kuwa ana mgombea kwenye mkoba aliyemuandaa kuwania jimbo hilo. Akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MISS TZ AKIRI KUTEMBEA NA KONDOM KWENYE MKOBA SAA 24!

Na Jelard Lucas
MISS Tanzania 2011, Salha Israel ameweka bayana bila ya woga wowote kuwa, kwenye pochi yake hakaukiwi na mipira ya kiume ‘kondom’, Amani linakupa kila kitu kinagaubaga. MISS Tanzania 2011, Salha Israel akiongea na mapaparazi wa GPL (hawapo pichani). Salha alisema hayo, juzi Jumanne katika mahojiano maalum, chumba cha habari cha Magazeti Pendwa Bongo, Global Publishers, Bamaga – Mwenge jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Sina mgombea CCM - Kinana

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akihutubia.WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho wa Rais, Wabunge na Madiwani likionekana kuanza kupanda kwa baadhi ya wanasiasa nchini, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hana mgombea ndani ya chama anayegombea nafasi yoyote, hivyo asihusishwe na yeyote.

 

10 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO NA KUWAPITISHA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA

 Mkutano Mkuu wa CHADEMA ulianza kwa kuimba nyimbo ya taifaShehe Rajabu Katimba akiomba Dua wakati wa mkutano mkuu wa CHADEMA uliofanyika leo Mchungaji Zakaria Kakobe akitoa neno la mungu wakati wa ufunguzi wa mkutano huo.
 Naibu katibu Mkuu Zanzibar Mh. Salum Mwalim akifungua mkutano wa Baraza kuu uliofanyika leo    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mh. Freeman Mbowe akisoma hutuba katika mkutano mkuu wakati wa mkutano mkuu uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mlimani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri

Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za  uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.

Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Dokii alisema  kuwa kwa sasa hawezi kufanya mambo mawili kwani yana weza kumfanya asito kaiz nzuri bali nguvu zake amezielekeza  kwenye shughuli hiyo ya kuwapigia debe...

 

10 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa

Rapper mkongwe, Inspector Haroun aka Babu amesema pamoja na watu kibao kumtaka agombee nafasi mbalimbali za uongozi katika mtaa wake, amekataa kufanya hivyo kwakuwa anaamini muziki bado unamuhitaji. Inspector Haroun alikiambia kipindi cha Leo Tena, Clouds FM kuwa, hajajipanga kuwa kiongozi huku akiwatakia heri wale wote waliotangaza nia mpaka sasa. “Niseme kitu kimoja kwamba miaka […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkoba: Serikali ikutane na walimu

SERIKALI imetakiwa kuacha kuwaonea walimu na baada yake wakukutana na kujadiliana juu ya makato ya shilingi 10000 ya ujenzi wa maabara wanaokatwa walimu wa jiji la Mwanza. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Habarileo

‘Mfuko wa Mkoba ndio kimbilio la wajasiriamali’

MFUKO wa Mitaji ya Wafanyabiashara (Mkoba Private Equity Fund), uliozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, umeelezwa kuwa ndio kimbilio kubwa kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati katika kupata mitaji ya kukuza biashara zao.

 

10 years ago

GPL

BODABODA WANUSA KIFO KWA KUKWAPUA MKOBA

Mmoja kati ya vibaka hao akiwa hoi baada ya kupata kichapo kikali. Mayasa mariwata na denis mtima
Vijana wawili wa bodaboda ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, hivi karibuni walikoswakoswa kuuawa baada ya kupora mkoba uliokuwa na simu ya mwanamke aliyekuwa akipita njia. Tukio hilo lilijiri Jumanne iliyopita, saa 1.30 usiku maeneo ya Sinza Afrikasana, pembeni mwa Baa ya Hongera ambapo inadaiwa ni eneo hatari kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani