‘Sina mgombea kwenye mkoba’
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Tabora Mjini, Moshi Nkonkota, amekanusha malalamiko yaliyotolewa na Mbunge Ismail Rage, kuwa ana mgombea kwenye mkoba aliyemuandaa kuwania jimbo hilo. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9F1PUpv1LWsvglaj9ieRuhFGfSArGcjhsiSAVW82mCsQPcs21O3vCBozsUcGQHW3He-Gh8OdUG7otjWJttHubQk/MISSTZ.jpg?width=650)
MISS TZ AKIRI KUTEMBEA NA KONDOM KWENYE MKOBA SAA 24!
10 years ago
Habarileo15 Sep
Sina mgombea CCM - Kinana
WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho wa Rais, Wabunge na Madiwani likionekana kuanza kupanda kwa baadhi ya wanasiasa nchini, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hana mgombea ndani ya chama anayegombea nafasi yoyote, hivyo asihusishwe na yeyote.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s72-c/1.jpg)
YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO NA KUWAPITISHA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s2j9y6cMRs/VcDmuVyAntI/AAAAAAABTJs/Q9tBx8YnPZc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQ5QjY5JuuU/VcDmvLhtmkI/AAAAAAABTJo/tV8_6cFI0Lc/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7MfTLZMyfc/VcDmvlQz-uI/AAAAAAABTJw/Xa5dh71Clrc/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fooSDRJP62Q/VcDmwWYau6I/AAAAAAABTKE/iF5gS2bmcAs/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aHavGADOhMQ/VcDmw5ZF_rI/AAAAAAABTKA/h4zEKWFlCyc/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gK8BiSdGPZ4/VcDmxvzkSwI/AAAAAAABTKI/94nBfdXje7Y/s640/7.jpg)
10 years ago
Bongo Movies27 May
Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri
Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Dokii alisema kuwa kwa sasa hawezi kufanya mambo mawili kwani yana weza kumfanya asito kaiz nzuri bali nguvu zake amezielekeza kwenye shughuli hiyo ya kuwapigia debe...
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mkoba: Serikali ikutane na walimu
SERIKALI imetakiwa kuacha kuwaonea walimu na baada yake wakukutana na kujadiliana juu ya makato ya shilingi 10000 ya ujenzi wa maabara wanaokatwa walimu wa jiji la Mwanza. Akizungumza na Tanzania...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/j5PZz9S050c/default.jpg)
11 years ago
Habarileo05 May
‘Mfuko wa Mkoba ndio kimbilio la wajasiriamali’
MFUKO wa Mitaji ya Wafanyabiashara (Mkoba Private Equity Fund), uliozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, umeelezwa kuwa ndio kimbilio kubwa kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati katika kupata mitaji ya kukuza biashara zao.
10 years ago
GPLBODABODA WANUSA KIFO KWA KUKWAPUA MKOBA