Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamisri waua wasudan 5 mpakani

Maafisa wa mpakani wa Misri wamewauwa wahamiaji 5 wa Sudan na kuwajerihi wengine 6 .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Robo ya wasudan Kusini wameathirika na njaa

Zaidi ya watu milioni mbili unusu wanahitaji chakula cha msaada cha dharura

 

11 years ago

Mwananchi

Wamisri wainyima ulaji Yanga

Klabu ya Yanga imepoteza dola 70,000 za Kimarekani (Sh 111.2 milioni) baada ya kampuni ya MGB ya Misri kushindwa kurusha moja kwa moja ‘Live’ mechi kati ya timu hiyo na Al Ahly iliyochezwa Uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wamisri wanaomtusi El-Sisi waonywa

Maneno ya kumtusi Field Marshall El-Sisi, mgombea urais, yanayosemwa mtandaoni yawakera wakuu wa Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamisri wakataliwa kuingia Tripoli

Raia wa Misri wanasa uwanja wa ndege baada ya kukataliwa kuingia Tripoli, Libya, kwa sababu ya shutuma dhidi ya serikali yao

 

11 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wa wamisri kuhusu katiba mpya

Watu nchini Misri wameanza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya huku hali ya usalama ikiwa imedhibitiwa vikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama mpakani

Wahamiaji wamekwama katika eneo la mpaka kati ya Hungary na Serbia

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri yajenga masoko mpakani

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera, imepanga kujenga masoko ya kimkakati mpakani na nchi jirani ili wafanyabiasha wa maeneo hayo wanunue na kuuza bidhaa ili kuchochea ongezeko la mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

Silaha za kivita zauzwa mpakani

Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na ujangili na uhalifu mwingine wa kutumia silaha ukiwamo ujambazi unaotokea maeneo mbalimbali, imebainika kuwa silaha za kivita zimeendelea kupenyezwa na kuuzwa nchini kutoka nchi jirani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri

Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani