Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamisri wainyima ulaji Yanga

Klabu ya Yanga imepoteza dola 70,000 za Kimarekani (Sh 111.2 milioni) baada ya kampuni ya MGB ya Misri kushindwa kurusha moja kwa moja ‘Live’ mechi kati ya timu hiyo na Al Ahly iliyochezwa Uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Logarusic ampa ulaji kocha Yanga

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wamemsainisha mkataba wa miezi sita kocha wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, Hans Van der Plujim.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamisri wakataliwa kuingia Tripoli

Raia wa Misri wanasa uwanja wa ndege baada ya kukataliwa kuingia Tripoli, Libya, kwa sababu ya shutuma dhidi ya serikali yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Wamisri waua wasudan 5 mpakani

Maafisa wa mpakani wa Misri wamewauwa wahamiaji 5 wa Sudan na kuwajerihi wengine 6 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wamisri wanaomtusi El-Sisi waonywa

Maneno ya kumtusi Field Marshall El-Sisi, mgombea urais, yanayosemwa mtandaoni yawakera wakuu wa Misri

 

11 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wa wamisri kuhusu katiba mpya

Watu nchini Misri wameanza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya huku hali ya usalama ikiwa imedhibitiwa vikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hodgson kuongea ulaji England

Shirikisho la soka England lina mpango wa kuwa na mazunguzo na Kocha mkuu wa timu ya England Roy Hodgson mapema mwaka ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete azuia ‘ulaji’ trafiki

RAIS Jakaya Kikwete ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, kuanzisha mara moja mfumo wa ulipaji faini kwa njia ya Benki na mitandao ya simu za mkononi ili kupunguza ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Majuto: Acheni kutuharibia ulaji

Mwigizaji nguli Amri Athumani (King Majuto),amewajia juu wanaovamia fani ya vichekesho kwa kufanya vitendo alivyosema vinatia kinyaa kuviangalia.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulaji wetu na maradhi ya kisukari-3

Tunaweza kuyakabili maradhi ya kisukari kwa njia kuu nne. Mosi, kuwa na elimu kuhusu maradhi ya kisukari na mtu kuwa na uwezo wa kujipima kiwango cha sukari mwilini mwake. Pili, ni kula mlo kamili, tatu kufanya mazoezi na nne ni kupata tiba sahihi ya maradhi ya kisukari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani