Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamisri wanaomtusi El-Sisi waonywa

Maneno ya kumtusi Field Marshall El-Sisi, mgombea urais, yanayosemwa mtandaoni yawakera wakuu wa Misri

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASTARA AWACHARUKIA WANAOMTUSI MUMEWE

Stori Na:Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda MSANII mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Wastara Juma ameapa kumshtaki mtu atakayekamata kutokana na baadhi ya mashabiki kuwa na tabia ya kumtukana matusi ya nguoni mtandaoni huku wakimhusisha na marehemu mumewe, Sajuki. Msanii mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Wastara Juma. Akizungumza na gazeti hili, Wastara alisema anajisikia vibaya baadhi ya mashabiki wanavyomtukana kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamisri wakataliwa kuingia Tripoli

Raia wa Misri wanasa uwanja wa ndege baada ya kukataliwa kuingia Tripoli, Libya, kwa sababu ya shutuma dhidi ya serikali yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Wamisri waua wasudan 5 mpakani

Maafisa wa mpakani wa Misri wamewauwa wahamiaji 5 wa Sudan na kuwajerihi wengine 6 .

 

11 years ago

Mwananchi

Wamisri wainyima ulaji Yanga

Klabu ya Yanga imepoteza dola 70,000 za Kimarekani (Sh 111.2 milioni) baada ya kampuni ya MGB ya Misri kushindwa kurusha moja kwa moja ‘Live’ mechi kati ya timu hiyo na Al Ahly iliyochezwa Uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wa wamisri kuhusu katiba mpya

Watu nchini Misri wameanza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya huku hali ya usalama ikiwa imedhibitiwa vikali.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii waonywa

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limewaonya wasanii kutotumia lugha ya matusi katika kipindi ambacho wanatumika kwenye kampeni mbalimbali za wagombea, watambue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.

 

9 years ago

Habarileo

Waajiri wa madereva waonywa

SERIKALI itaanza kuchukua hatua za kisheria kwa waajiri watakaokiuka makubaliano katika mikataba mipya ya madereva kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu, huku madereva wakionywa kuacha tishio la migomo.

 

10 years ago

Michuzi

Watumishi wa afya waonywa

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid akizungumza wakati za uzinduzi wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana.

Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wa ualimu waonywa

 Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk Primus NkweraWANAFUNZI wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Shule ya Msingi (ODPE) na Sekondari, wamepewa angalizo juu ya utaratibu wa kuomba udahili, wakisisitizwa vyuo haviruhusiwi kudahili moja kwa moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani