Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dola Milioni 17 zatengwa kunufaisha wavuvi wa ukanda wa bahari Tanzania bara!!

WavuviBaadhi ya wavuvi wakiandaa nyavu zao kwa ajili ya kwenda kufanya shughuli zao za uvuvi..

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Wavuvi wa ukanda wa bahari ya Hindi wanatarajiwa kunufaika na mradi wa Udhibiti wa Uvuvi na Maendeleo Shirikishi Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi (SWIOFISH) ambao mradi unagharimu kiasi cha Dola Milioni 36 ambazo zimetolewa na mashirika ya kimataifa ili kufanikisha mradi huo.

Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo, Mkuu wa kitengo cha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Uganda yalipa dola milioni 9.7 tu inazodaiwa na Tanzania

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.SERIKALI ya Uganda imelipa Tanzania Dola za Marekani milioni 9.7 tu kati ya Dola milioni 18.4 walizotakiwa kuilipa serikali ya Tanzania kama fidia, itokanayo na athari ya vita baina ya Tanzania na Uganda.

 

5 years ago

Michuzi

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Milioni 65/- zatengwa Mbarali kwa ajili ya wajawazito

SHILINGI milioni 65 zimetengwa mwaka huu na Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kwa ajili ya huduma ya uzazi kwa akina mama wanaofika kujifungua Hospitali ya Misheni ya Lutheran...

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YATOA DOLA MILIONI 3.6 KUPAMBANA NA CORONA TANZANIA


 Serikali ya Marekani imetenga kiasi cha dola millioni3.6 ( Shilling billioni 7.8) kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Tanzania katika mapambano dhidi ya janga la Korona (COVID-19)
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni jambo...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali ya Marekani yatoa Dola milioni 3.6 kupambana na Covid-19 Tanzania.

 Serikali ya Marekani imetenga kiasi cha dola millioni3.6 ( Shilling billioni 7.8) kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Tanzania katika mapambano dhidi ya janga la Korona (COVID-19)

Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.

Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni...

 

5 years ago

StarTV

YURO MILIONI 3 zatengwa kwaajili ya mradi wa nishati mbadala Zanzibar

Kiasi cha yuro milioni tatu zinategemewa kutumika katika kufanikisha  upembuzi yakinifu wa mradi wa kutafuta umeme mbadala kwa zanzibar wa upepo na nishati ya jua ili kukabiliana na changamoto ya kutegemea umeme wa mfumo mmoja tu wa kutumia cable kutoka Tanzania Bara. Fedha hizo kutoka Jumuiya ya Ulaya zinategemewa kuiwezesha Zanzibar kuwa na njia nyengine …

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015

DSC01093

Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.

DSC01095

Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.

Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...

 

10 years ago

Mwananchi

Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni

Wakati Serikali ya Marekani ikisema haitatoa fedha za Changamoto za Milenia (MCC) hadi utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow wa Sh306 bilioni utakapofanyiwa kazi, Ikulu imesema, Rais Jakaya Kikwete hatatekeleza agizo hilo kwa shinikizo la msaada huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani