Sekondari yakabidhiwa mradi wa Sh41 milioni
 Mradi wa gesi inayotumia kinyesi cha binadamu na wanyama wenye thamani ya zaidi ya Sh41 milioni umezinduliwa na kukabidhiwa kwa Sekondari ya Ilasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Oct
Shule yakabidhiwa mradi wa mil. 600/-
KAMPUNI ya Ophir Energy imekamilisha mradi wa maendeleo ya jamii wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 600 katika Shule ya Msingi Lilungu, Manispaa ya Mtwara-Mikindani, mkoani Mtwara.
11 years ago
Michuzi
Shule ya sekondari Manzese kunufaika na mradi wa Biogas


10 years ago
GPLKOICA WAZINDUA MRADI WA UMEME SEKONDARI YA IGOGO MWANZA
11 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Ujenzi sekondari Sokon wahitaji sh milioni 450
SHILINGI milioni 450 zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa shule ya Sekondari ya Sokon 11 wilayani Arumeru mkoani Arusha. Aidha, shule hiyo ambayo ilianza kujengwa mwaka 2010, ilipangwa kutumia...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Milioni 40 zachangwa kwa ujenzi wa maabara ya sekondari
Mwenyekiti wa klabu ya Gymkhana Dioniz Malinzi akipiga mpira wakati wa ufunguzi wa mchezo wa gofu kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maktaba na vifaa vya kompyuta vya Shule ya Sekondari ya Mtakuja.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza mchezo wa...
10 years ago
Michuzi
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI

Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
10 years ago
Michuzi
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MTAKUJA YA JIJINI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA MASHULENI


5 years ago
Michuzi
MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA-MAJALIWA


Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa.

Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA: SH. MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA
Ruangwa, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana.
Amesema Serikali inataka mtoto wa kike asome kuanzia darasa la...