KOICA WAZINDUA MRADI WA UMEME SEKONDARI YA IGOGO MWANZA
  Mkurugenzi wa KOICA nchini, Kim Seung Beom, akizindua mradi wa umeme katika Shule ya Sekondari Igogo, Mwanza. Kulia ni Ofisa Elimu wa Jiji la Mwanza, Asia Matitu. Kim Seung Beom akisoma hotuba yake wakati wa uzinduzi huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 May
HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015
Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
UN wazindua mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi, Chamwino Dodoma
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akipanda mti kama ishara ya uhifadhi mazingira baada ya kuzindua mradi wa kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha Machali A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma katika utekelezaji wa moja kati ya...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Mawaziri watatu wazindua mradi mkubwa wa kilimo Bagamoyo
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali
Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).
Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
UNDP wazindua mradi mkubwa wa maji Noondoto na Elang’atadapash
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la wafugaji la Ilkisongo Pastoralists Initiative (IPI) Bw.Mike Olemokoro akiongoza gari ya Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez alipowasili kwenye kijiji cha Elang’atadapash wilayani Longido kuzindua mradi mkubwa wa maji unaofadhiliwa na UNDP.
Na mwandishi wetu
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Sekondari yakabidhiwa mradi wa Sh41 milioni
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UQKk3xOtkMM/VZNpkweRzHI/AAAAAAAARx4/nkjIqUCfDfE/s72-c/E86A2344%2B%25281280x853%2529.jpg)
TANAPA WAZINDUA KAMPENI YA KUTANGAZA UTALII WA NDANI JIJINI MWANZA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UQKk3xOtkMM/VZNpkweRzHI/AAAAAAAARx4/nkjIqUCfDfE/s640/E86A2344%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9yG-WQpWv_M/VZNplSVha3I/AAAAAAAARx8/7UGzpU40Rq8/s640/E86A2357%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QtyZTPtb1sA/VZNpqpL-qSI/AAAAAAAARyc/QxuCza60NDU/s640/E86A2359%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IJgPayXOwdI/VZNpf997haI/AAAAAAAARxk/smtlSu6mkbU/s640/E86A2328%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m8gY9l6RQJY/VZNpbWGBkkI/AAAAAAAARxQ/LQkUcDHwgzU/s640/E86A2315%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7ivulV-Snuw/VZNpa3S80zI/AAAAAAAARxE/rOPi_keDTMg/s640/E86A2319%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S-oElQKRI04/VEN_fnzr77I/AAAAAAAGr4o/6kuB_dficeg/s72-c/09.jpg)
Shule ya sekondari Manzese kunufaika na mradi wa Biogas
![](http://2.bp.blogspot.com/-S-oElQKRI04/VEN_fnzr77I/AAAAAAAGr4o/6kuB_dficeg/s1600/09.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yaAUGLRJ1dw/VEN_gQojehI/AAAAAAAGr4w/yYNaQZUld8M/s1600/10.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Jan
Mradi wa umeme Nanyumbu wazinduliwa
AHADI ya Serikali ya kuhakikisha inafikisha umeme Wilaya ya Nanyumbu na vijiji vyake , imetekelezwa baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuzindua rasmi mradi wa umeme wilayani humo. Kuzinduliwa kwa mradi huo, kumetengeneza historia mpya ya mji huo, kwani tangu uhuru, ulikuwa ukitumika umeme mbadala wa nishati ya jua na jenereta.