Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali

3

Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).

4

Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ESAURP, FSDT launches a project of formalization and capacity building of MSMEs in Tanzania.

  Eastern and Southern African Universities Research Programme (ESAURP) has today launched a project geared on formalizing of Micro, Small and Medium entrepreneurs (MSMEs) covering ten (10) regions of mainland Tanzania; Arusha, Kilimanajaro, Mbeya, Iringa, Kagera, Mtwara, Kigoma, Singida, Morogoro, Dodoma.  

The project, sponsored by Financial Sector Deepening Trust (FSDT) will target a total of 1,500 (150 from each region) businesses/ entrepreneurs.
Speaking to reporters, ESAURP Executive...

 

11 years ago

Tanzania Daima

FSDT yahamasisha ushiriki shindano kusaidia wajasiriamali

WADAU wa sekta ya fedha na wabunifu nchini wametakiwa kuchangamkia awamu ya tatu ya shindano la mfuko wa ubunifu wa bidhaa za kifedha unaolenga kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati....

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom, FSDT yakutanisha wafanyabiashara na watoa huduma sekta ya fedha

Mkurugenzi wa Huduma za Uanachama wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF)Louis Accaro akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam(hawapo pichani) kuhusiana na warsha ya kuboresha na kupanua huduma za kifedha itakayofanyika kesho/leo Serena Hotel jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Mshauri wa TPSF Dk.Donath Olomi, Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia na Kulia ni Mtaalamu wa Biashara wa FSDT Peter Kingu,Warsha...

 

11 years ago

Mwananchi

Watumiaji wa huduma za kibenki waonywa

>Watumiaji wa huduma za kibenki wametakiwa kujiepusha na wimbi kubwa la utapeli kwa njia ya mtandao linaonekana kushika kasi siku za hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Raha, karaha za mapinduzi ya huduma za kibenki

Benki hiyo iliyoanzishwa wakati wa iliyokuwa Tanganyika chini ya ukoloni wa Ujerumani, ililenga kuratibu sarafu na noti za zilizokuwa zikitumika nchini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo kupata huduma za kibenki kupitia simu zao

DSC03177 (FILEminimizer)

Mkuu wa huduma za kifedha wa Tigo, Bwana Andrew Hodgson, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana  na huduma za kibenki kwa wateja wa Tigo. Kulia ni Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja.

DSC03188 (FILEminimizer)

Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.

Kampuni ya Tigo  imeingia katika ushirikiano na mabenki makubwa 17 nchini ili kuwapatia wateja wa Tigo pesa uwezo wa kutuma na kupokea pesa kutoka katika akaounti zao za benki kwenda kwenye simu...

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA TAKRIBANI MILIONI 3.3 HUTUMIA HUDUMA ZA KIBENKI - BENNO NDULU‏

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Profesar Benno Ndulu akikata utepe kuzindua kitabu cha ripoti ya utafiti Tanzania katika masuala ya uchumi uliofanyika leo Aprili 2, 2014 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Profesar Benno Ndulu akikata utepe kuzindua kitabu cha ripoti ya utafiti Tanzania katika masuala ya uchumi uliofanyika… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

TWIGA BANCORP yajivunia kuwa taasisi ya kifedha inayoongoza kutoa huduma bora za kibenki

IMG_2937

Wafanyakazi wa Benki ya Twiga Bancorp wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda lao mapema leo, kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini  Dar es Salaam.

IMG_2762

Mama Mjasiliamali wa kampuni ya Tree of Life, Bi.Jessica Msamba akifafanua jambo kwa  Afisa Masoko wa Twiga Bancorp,Bwa.Adalbert Alchard mapema leo mchana kwenye  maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini  Dar es Salaam.Bi Jesca ni mmoja wa wateja wakubwa wa benki hiyo na amekuwa akiendesha biashara zake za ujasiliamali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani