ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali
Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).
Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziESAURP, FSDT launches a project of formalization and capacity building of MSMEs in Tanzania.
The project, sponsored by Financial Sector Deepening Trust (FSDT) will target a total of 1,500 (150 from each region) businesses/ entrepreneurs.
Speaking to reporters, ESAURP Executive...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
FSDT yahamasisha ushiriki shindano kusaidia wajasiriamali
WADAU wa sekta ya fedha na wabunifu nchini wametakiwa kuchangamkia awamu ya tatu ya shindano la mfuko wa ubunifu wa bidhaa za kifedha unaolenga kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P5WlKagJWUk/U_IDE_Jz5OI/AAAAAAAGAhc/QVBnlBo4WyQ/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Vodacom, FSDT yakutanisha wafanyabiashara na watoa huduma sekta ya fedha
![](http://3.bp.blogspot.com/-P5WlKagJWUk/U_IDE_Jz5OI/AAAAAAAGAhc/QVBnlBo4WyQ/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Watumiaji wa huduma za kibenki waonywa
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Raha, karaha za mapinduzi ya huduma za kibenki
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Wateja wa Tigo kupata huduma za kibenki kupitia simu zao
Mkuu wa huduma za kifedha wa Tigo, Bwana Andrew Hodgson, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na huduma za kibenki kwa wateja wa Tigo. Kulia ni Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja.
Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
Kampuni ya Tigo imeingia katika ushirikiano na mabenki makubwa 17 nchini ili kuwapatia wateja wa Tigo pesa uwezo wa kutuma na kupokea pesa kutoka katika akaounti zao za benki kwenda kwenye simu...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-KBtSpH2B-G4/UzwAUowl-1I/AAAAAAAA4Pw/zIIz9m8nIpw/s1600/FSDT+1.jpg)
WATANZANIA TAKRIBANI MILIONI 3.3 HUTUMIA HUDUMA ZA KIBENKI - BENNO NDULU
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
TWIGA BANCORP yajivunia kuwa taasisi ya kifedha inayoongoza kutoa huduma bora za kibenki
Wafanyakazi wa Benki ya Twiga Bancorp wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda lao mapema leo, kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.
Mama Mjasiliamali wa kampuni ya Tree of Life, Bi.Jessica Msamba akifafanua jambo kwa Afisa Masoko wa Twiga Bancorp,Bwa.Adalbert Alchard mapema leo mchana kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.Bi Jesca ni mmoja wa wateja wakubwa wa benki hiyo na amekuwa akiendesha biashara zake za ujasiliamali...