Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FSDT yahamasisha ushiriki shindano kusaidia wajasiriamali

WADAU wa sekta ya fedha na wabunifu nchini wametakiwa kuchangamkia awamu ya tatu ya shindano la mfuko wa ubunifu wa bidhaa za kifedha unaolenga kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali

3

Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).

4

Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...

 

11 years ago

Habarileo

TIC kuendelea kusaidia wajasiriamali

KITUO cha Uwekezaji (TIC) kitaendelea kusaidia wajasiriamali wadogo, kujenga uwezo katika biashara zao, ili wakue na kukuza uchumi wao na wa nchi kwa ujumla.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo na Reach for Change wazindua shindano la wajasiriamali jamii

1

Meneja mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii liitwalo “Tigo Digital Change-makers”, kampuni ya Tigo kushirikiana na Reach for Change kila mwaka wanatafuta watu wenye kuibua mawazo ya kibunifu ambayo yatasaidia kutatuta matatizo yanayowakabili watoto na vijana nchini.

2

Meneja wa Reach for Change Tanzania, Peter Nyanda, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Asasi za fedha Singida zaagizwa kusaidia Wajasiriamali

DSC09911

Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB mkoa wa Singida, Isaya Kimario, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya ufungaji wa mafunzo yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 50 kutoka wilaya ya Iramba na Singida. Wa pili kulia, ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi na wa kwanza kushoto ni Meneja Mahusiano kitengo cha Wajasiriamali Makao Makuu  CRDB Dar-es-salaam, Godfrey Ng’urah.

Na Nathaniel Limu, Singida

SERIKALI wilaya ya Singida, imeziagiza asasi za kifedha zikiwemo benki zinazojishughulisha na huduma ya...

 

10 years ago

Vijimambo

CONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI

Benki ya wanawake ijulikanayo kama Convenant Bank pamoja na Kampuni ya bima ya AAR washirikiana katika kuanzisha akaunti ya bima ya matibabu kwa wajasiriamali walioko nchini Mkutano kati ya Convenant Bank, AAR Insurance na wajasiriamali ulifanyika mwishoni mwa wiki ilopita,uliohusika na kuwaelewesha wajasiriamali kuhusu akaunti hiyo na umuhimu wa bima ya afya kwenye maisha yao ya kila siku.Akiongea na wajasiriamali Mkurugenzi wa Convenant Bank Bibi Sabeth Mwambenja alisema,“Akaunti hii ya...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa shindano la Wajasiriamali ambapo ametoa wito kwa watu kushiriki ili wajiweke katika nafasi ya kushinda fedha taslimu dola za kimarekani 20,000 ambazo kila mshindi atapewa azitumie katika utekelezaji wa mawazo yao ya kibunifu.
  Meneja wa nchi wa Reach for Change, Peter Nyanda, akizungumza katika mkutano huo. Muhasisi wa Mfuko wa APPS and Girls, Carolyne...

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom, FSDT yakutanisha wafanyabiashara na watoa huduma sekta ya fedha

Mkurugenzi wa Huduma za Uanachama wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF)Louis Accaro akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam(hawapo pichani) kuhusiana na warsha ya kuboresha na kupanua huduma za kifedha itakayofanyika kesho/leo Serena Hotel jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Mshauri wa TPSF Dk.Donath Olomi, Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia na Kulia ni Mtaalamu wa Biashara wa FSDT Peter Kingu,Warsha...

 

10 years ago

Michuzi

ESAURP, FSDT launches a project of formalization and capacity building of MSMEs in Tanzania.

  Eastern and Southern African Universities Research Programme (ESAURP) has today launched a project geared on formalizing of Micro, Small and Medium entrepreneurs (MSMEs) covering ten (10) regions of mainland Tanzania; Arusha, Kilimanajaro, Mbeya, Iringa, Kagera, Mtwara, Kigoma, Singida, Morogoro, Dodoma.  

The project, sponsored by Financial Sector Deepening Trust (FSDT) will target a total of 1,500 (150 from each region) businesses/ entrepreneurs.
Speaking to reporters, ESAURP Executive...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani