FSDT yahamasisha ushiriki shindano kusaidia wajasiriamali
WADAU wa sekta ya fedha na wabunifu nchini wametakiwa kuchangamkia awamu ya tatu ya shindano la mfuko wa ubunifu wa bidhaa za kifedha unaolenga kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali
Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).
Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...
11 years ago
Habarileo13 May
TIC kuendelea kusaidia wajasiriamali
KITUO cha Uwekezaji (TIC) kitaendelea kusaidia wajasiriamali wadogo, kujenga uwezo katika biashara zao, ili wakue na kukuza uchumi wao na wa nchi kwa ujumla.
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tigo na Reach for Change wazindua shindano la wajasiriamali jamii
Meneja mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii liitwalo “Tigo Digital Change-makers”, kampuni ya Tigo kushirikiana na Reach for Change kila mwaka wanatafuta watu wenye kuibua mawazo ya kibunifu ambayo yatasaidia kutatuta matatizo yanayowakabili watoto na vijana nchini.
Meneja wa Reach for Change Tanzania, Peter Nyanda, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii...
11 years ago
Habarileo26 Jan
Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Asasi za fedha Singida zaagizwa kusaidia Wajasiriamali
Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB mkoa wa Singida, Isaya Kimario, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya ufungaji wa mafunzo yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 50 kutoka wilaya ya Iramba na Singida. Wa pili kulia, ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi na wa kwanza kushoto ni Meneja Mahusiano kitengo cha Wajasiriamali Makao Makuu CRDB Dar-es-salaam, Godfrey Ng’urah.
Na Nathaniel Limu, Singida
SERIKALI wilaya ya Singida, imeziagiza asasi za kifedha zikiwemo benki zinazojishughulisha na huduma ya...
10 years ago
VijimamboCONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P5WlKagJWUk/U_IDE_Jz5OI/AAAAAAAGAhc/QVBnlBo4WyQ/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Vodacom, FSDT yakutanisha wafanyabiashara na watoa huduma sekta ya fedha
![](http://3.bp.blogspot.com/-P5WlKagJWUk/U_IDE_Jz5OI/AAAAAAAGAhc/QVBnlBo4WyQ/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
MichuziESAURP, FSDT launches a project of formalization and capacity building of MSMEs in Tanzania.
The project, sponsored by Financial Sector Deepening Trust (FSDT) will target a total of 1,500 (150 from each region) businesses/ entrepreneurs.
Speaking to reporters, ESAURP Executive...