Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asasi za fedha Singida zaagizwa kusaidia Wajasiriamali

DSC09911

Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB mkoa wa Singida, Isaya Kimario, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya ufungaji wa mafunzo yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 50 kutoka wilaya ya Iramba na Singida. Wa pili kulia, ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi na wa kwanza kushoto ni Meneja Mahusiano kitengo cha Wajasiriamali Makao Makuu  CRDB Dar-es-salaam, Godfrey Ng’urah.

Na Nathaniel Limu, Singida

SERIKALI wilaya ya Singida, imeziagiza asasi za kifedha zikiwemo benki zinazojishughulisha na huduma ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...

 

10 years ago

Michuzi

ASASI YA "AIDS - free" KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwa Kamishna Jenerali wa Magereza leo februari 20, 2015(wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Operesheni na Fedha, Bw. Mike Hames(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi anayeshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka USAID, Bw. Erick Mlang'ha. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir...

 

11 years ago

Habarileo

TIC kuendelea kusaidia wajasiriamali

KITUO cha Uwekezaji (TIC) kitaendelea kusaidia wajasiriamali wadogo, kujenga uwezo katika biashara zao, ili wakue na kukuza uchumi wao na wa nchi kwa ujumla.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

FSDT yahamasisha ushiriki shindano kusaidia wajasiriamali

WADAU wa sekta ya fedha na wabunifu nchini wametakiwa kuchangamkia awamu ya tatu ya shindano la mfuko wa ubunifu wa bidhaa za kifedha unaolenga kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati....

 

10 years ago

GPL

ASASI YA "AIDS - FREE" KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwa Kamishna Jenerali wa Magereza leo februari 20, 2015(wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Operesheni na Fedha, Bw. Mike Hames(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi anayeshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka USAID, Bw. Erick...

 

10 years ago

Vijimambo

CONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI

Benki ya wanawake ijulikanayo kama Convenant Bank pamoja na Kampuni ya bima ya AAR washirikiana katika kuanzisha akaunti ya bima ya matibabu kwa wajasiriamali walioko nchini Mkutano kati ya Convenant Bank, AAR Insurance na wajasiriamali ulifanyika mwishoni mwa wiki ilopita,uliohusika na kuwaelewesha wajasiriamali kuhusu akaunti hiyo na umuhimu wa bima ya afya kwenye maisha yao ya kila siku.Akiongea na wajasiriamali Mkurugenzi wa Convenant Bank Bibi Sabeth Mwambenja alisema,“Akaunti hii ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi za fedha ziwezeshe wajasiriamali wadogo

DSC01368

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akikagua vyungu vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa wilaya ya Iramba ambao wanashiriki maonesho ya 12 ya SIDO kanda ya kati yanayoendelea mjini Singida.

DSC01338

Afisa Mwanadaamizi wa Masoko wa Shirika la viwango (TBS), Gladness Kaseka (kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, juu ya shughuli zinazofanywa na shirika hilo. Dk.Kone alikuwa akikagua mabanda ya wajasiriamali na taasisi mbalimbali wanaoshiriki maonesho ya bidhaa...

 

5 years ago

Michuzi

Citi, Tamfi ‘kuwajaza’ fedha wajasiriamali

TAASISI ya Wakfu ya Citi kwa kushirikiana na Shirikisho la Asasi zinazotoa huduma za fedha kwa wajasiriamali wadogo (TAMFI), imezindua shindano la kuwania tuzo ya wakfu huo kwa wajasirimali wadogo jijini Dar es Salaam.

Tuzo hizo zimelenga kuangalia mchango usio wa kawaida kwa wajasiriamali wadogo katika kuimarisha uchumi wao binafsi katika ngazi ya familia na kijamii nchini kote.

Akizindua shindano hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citibank Tanzania, Geofrey Mchangila, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani