Citi, Tamfi ‘kuwajaza’ fedha wajasiriamali
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9v3t-GrA9c/XkmF71SuVTI/AAAAAAAEFBk/uCeoKu_u2xkQRAcH30u_QSwOt2NjWqUMwCLcBGAsYHQ/s72-c/PAGE%2B17%2BCITI.jpeg)
TAASISI ya Wakfu ya Citi kwa kushirikiana na Shirikisho la Asasi zinazotoa huduma za fedha kwa wajasiriamali wadogo (TAMFI), imezindua shindano la kuwania tuzo ya wakfu huo kwa wajasirimali wadogo jijini Dar es Salaam.
Tuzo hizo zimelenga kuangalia mchango usio wa kawaida kwa wajasiriamali wadogo katika kuimarisha uchumi wao binafsi katika ngazi ya familia na kijamii nchini kote.
Akizindua shindano hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citibank Tanzania, Geofrey Mchangila, alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Taasisi za fedha ziwezeshe wajasiriamali wadogo
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akikagua vyungu vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa wilaya ya Iramba ambao wanashiriki maonesho ya 12 ya SIDO kanda ya kati yanayoendelea mjini Singida.
Afisa Mwanadaamizi wa Masoko wa Shirika la viwango (TBS), Gladness Kaseka (kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, juu ya shughuli zinazofanywa na shirika hilo. Dk.Kone alikuwa akikagua mabanda ya wajasiriamali na taasisi mbalimbali wanaoshiriki maonesho ya bidhaa...
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Asasi za fedha Singida zaagizwa kusaidia Wajasiriamali
Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB mkoa wa Singida, Isaya Kimario, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya ufungaji wa mafunzo yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 50 kutoka wilaya ya Iramba na Singida. Wa pili kulia, ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi na wa kwanza kushoto ni Meneja Mahusiano kitengo cha Wajasiriamali Makao Makuu CRDB Dar-es-salaam, Godfrey Ng’urah.
Na Nathaniel Limu, Singida
SERIKALI wilaya ya Singida, imeziagiza asasi za kifedha zikiwemo benki zinazojishughulisha na huduma ya...
9 years ago
TheCitizen14 Sep
Tamfi calls for microfinance reforms
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
Pinda akutana na viongozi wa makampuni ya Somito na Citi Bank
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Citi Bank ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 23, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Uchukuzi , Dr. Harrison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA MAKAMPUNI YA SOMITO NA CITI BANK
![](http://2.bp.blogspot.com/-ujFqJ7_rRgY/U8-vyGdlJhI/AAAAAAAF5LU/uEI_Yqzu0Zs/s1600/unnamed+(63).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G8CWud7DxBg/U-4izPc-NRI/AAAAAAAF_4s/QLZgoYX6CIM/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Citi hosts annual Africa Banks Forum in Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-G8CWud7DxBg/U-4izPc-NRI/AAAAAAAF_4s/QLZgoYX6CIM/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...
10 years ago
VijimamboPSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...