Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamfi calls for microfinance reforms

Tanzania needs an improved legal and regulatory framework for microfinance to increase access to financial services across the country, according to the Tanzania Association of Microfinance Institutions (Tamfi).

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Citi, Tamfi ‘kuwajaza’ fedha wajasiriamali

TAASISI ya Wakfu ya Citi kwa kushirikiana na Shirikisho la Asasi zinazotoa huduma za fedha kwa wajasiriamali wadogo (TAMFI), imezindua shindano la kuwania tuzo ya wakfu huo kwa wajasirimali wadogo jijini Dar es Salaam.

Tuzo hizo zimelenga kuangalia mchango usio wa kawaida kwa wajasiriamali wadogo katika kuimarisha uchumi wao binafsi katika ngazi ya familia na kijamii nchini kote.

Akizindua shindano hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citibank Tanzania, Geofrey Mchangila, alisema...

 

11 years ago

TheCitizen

Microfinance ‘unguided’

The microfinance sector is largely unregulated even as data shows that a good number of Tanzania’s rural population depends on such services for their financial needs.

 

5 years ago

Michuzi

Invest with Yetu Microfinance Bank Plc


Yetu Microfinance Bank Plc formerly known as YOSEFO is a Microfinance Bank in Tanzania with operations in 6 regions, namely  Dar es Salaam, Morogoro, Pwani, Lindi, Mtwara and Tanga and the Island of Zanzibar. Before becoming a Microfinance Bank in 2017, it Yetu Microfinance Bank Plc  has been a pioneer in Microfinance industry for the past  20 years with the  flagship name of “YOSEFO” group lending being their major business.

 

11 years ago

TheCitizen

Enacting microfinance law overdue, govt told

 Microfinance institutions are still operating in difficult conditions for lack of laws to guide their operations. Stakeholders are now urging the government to come up with a microfinance law that will help regulate them and protect borrowers.

 

11 years ago

Habarileo

Wafurahia kuja kwa benki ya Annastella Microfinance

WAFANYABIASHARA ndogo wakiwemo wauza miwa , mboga, matunda na wakulima wadogo hususani akina mama, wamefurahia kuanzishwa kwa benki itakayotoa mikopo kwao kwa masharti nafuu na wao kuwa wanufaika wa kwanza.

 

10 years ago

Dewji Blog

FINCA Microfinance Bank yazinduliwa rasmi jijini Dar leo

Hapa uzinduzi rasmi wa Finca Microfinance Bank ukifanyika leo jijini Dar es Salaam.

Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa benki hiyo. Kushoto ni Zulpha Semboja na Kulia ni Rahmathi Damac warembo wa benki hiyo waliokuwa wakitoa huduma wakati wa uzinduzi huo.

Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akiwa meza kuu na viongozi wengine. Kutoka kulia ni Meneja Rasilimali Watu (HRM), Mary...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba aifagilia UTT Microfinance

 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa Taasisi ya kifedha ya UTT Microfinance, baada ya kukata utepe kuzindua taasisi hiyo, Dar es Salaam jana. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto), akikata utepe kuzindua rasmi Taasisi ya huduma za Kifedha ya UTT Microfinance, Dar es Salaam jana. Wa pili Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi Balozi Fadhili Mbaga na Mtendaji Mkuu wa UTT, Bw. James Washima (kushoto).Naibu ...

 

10 years ago

Vijimambo

FINCA MICROFINANCE BANK YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Hapa uznduzi rasmi wa Finca Microfinance Bank ukifanyika leo jijini Dar es SalaamOfisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa benki hiyo. Kushoto ni Zulpha Semboja na Kulia ni Rahmathi Damac warembo wa benki hiyo waliokuwa wakitoa huduma wakati wa uzinduzi huo. Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akiwa meza kuu na viongozi wengine. Kutoka kulia ni Meneja Rasilimali Watu (HRM), Mary Magoire, Ofisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani