Vodacom, FSDT yakutanisha wafanyabiashara na watoa huduma sekta ya fedha
.jpg)
Mkurugenzi wa Huduma za Uanachama wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF)Louis Accaro akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam(hawapo pichani) kuhusiana na warsha ya kuboresha na kupanua huduma za kifedha itakayofanyika kesho/leo Serena Hotel jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Mshauri wa TPSF Dk.Donath Olomi, Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia na Kulia ni Mtaalamu wa Biashara wa FSDT Peter Kingu,Warsha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MARY NAGU AFUNGUA WARSHA YA WAFANYABIASHARA NA WATOA HUDUMA SEKTA YA FEDHA


5 years ago
Michuzi
Wasimamizi wa sekta ya fedha wazindua daftari la kudumu la watoa huduma za kifedha (FSR)
Wasimamizi wa sekta ya fedha Tanzania wakiungwa mkono na Mfuko wa kuendeleza sekta ya Fedha Tanzania, wamezindua Daftari la kudumu la watoa huduma za kifedha , ambalo lengo ni kuonyesha mahali ambapo vituo vinavyotoa huduma za kifedha vinapatikana kwenye nchi.
FSR ni daftari endelevu ambalo litaonyesha mahali ambapo vituo vinavyotoa huduma za kifedha vinapatikana kwa nchi nzima kwa kukamata tarakimu za kijiografia zinazoonyesha eneo na aina ya huduma inayopatikana ambalo lengo lake ni...
10 years ago
Michuzi.jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
Akiongea na waandishi wa habari leo,Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia amesema anawaomba watanzania wote wanaotaka...
10 years ago
GPL
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
5 years ago
MichuziKANZIDATA YA KUDUMU YA WATOA HUDUMA ZA FEDHA YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania,Profesa Florens Luoga, (wa tatu kushoto),akibofya kitufe maalum wakati wa uzinduzi wa Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma za Fedha katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika jijini Dar Es Salaam leo,(wa pili kushoto) ni Naibu Gavana wa Benki Kuu,Dk.Benard Kibesse,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya DCB Community bank, Godfrey Ndalahwa,wengine kutoka kulia ni Meneja Usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Bima (TIRA),Paul Abdiel , Naibu Mrajisi wa...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali
Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).
Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...