KANZIDATA YA KUDUMU YA WATOA HUDUMA ZA FEDHA YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania,Profesa Florens Luoga, (wa tatu kushoto),akibofya kitufe maalum wakati wa uzinduzi wa Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma za Fedha katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika jijini Dar Es Salaam leo,(wa pili kushoto) ni Naibu Gavana wa Benki Kuu,Dk.Benard Kibesse,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya DCB Community bank, Godfrey Ndalahwa,wengine kutoka kulia ni Meneja Usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Bima (TIRA),Paul Abdiel , Naibu Mrajisi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IutjaP6H4ZQ/XlzyJM0OLeI/AAAAAAALgYU/TLrXuy-MYWwC9PLMJ51HqN9DclDsG2eegCLcBGAsYHQ/s72-c/eef320f2-1d63-4455-b1ab-439a304ba250.jpg)
Wasimamizi wa sekta ya fedha wazindua daftari la kudumu la watoa huduma za kifedha (FSR)
Wasimamizi wa sekta ya fedha Tanzania wakiungwa mkono na Mfuko wa kuendeleza sekta ya Fedha Tanzania, wamezindua Daftari la kudumu la watoa huduma za kifedha , ambalo lengo ni kuonyesha mahali ambapo vituo vinavyotoa huduma za kifedha vinapatikana kwenye nchi.
FSR ni daftari endelevu ambalo litaonyesha mahali ambapo vituo vinavyotoa huduma za kifedha vinapatikana kwa nchi nzima kwa kukamata tarakimu za kijiografia zinazoonyesha eneo na aina ya huduma inayopatikana ambalo lengo lake ni...
11 years ago
MichuziVETA YAENDESHA SEMINA KWA WABUNGE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA ZA JAMII JUU YA MRADI WA KUONGEZA SIFA ZA KUAJILIWA - EEVT LEO JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5XpFVZ3nMGE/UyAvKxHfX8I/AAAAAAAFTBs/a_I3MsmrgXU/s72-c/MMG28649.jpg)
TV 1 Tanzania yazinduliwa rami leo jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-5XpFVZ3nMGE/UyAvKxHfX8I/AAAAAAAFTBs/a_I3MsmrgXU/s1600/MMG28649.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-20x4hBsTL2w/UyAv9hTsFUI/AAAAAAAFTC0/1cuNLk3qo24/s1600/MMG28728.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ckpoDkum7IU/U98PsdoX2AI/AAAAAAACmz8/BXyTU6nbpaE/s72-c/1+(2).jpg)
CBE YAENDESHA MAFUNZO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA 72 KUTOKA MIKOA MBALIMBALI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ckpoDkum7IU/U98PsdoX2AI/AAAAAAACmz8/BXyTU6nbpaE/s1600/1+(2).jpg)
10 years ago
MichuziMABANGO YA KUELIMISHA UKIMWI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
VETA yaendesha semina kwa wabunge wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma za jamii juu ya mradi wa kuongeza sifa za kuajiriwa — EEVT jijini Dar
Mh Jenista Mhagama (Kushoto) akiongea na baadhi ya wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii na baadhi ya wafanyakazi wa VETA kutoka Makao Makuu na VETA Kanda ya Kusini wakati wa semina iliyoandaliwa na VETA Kwaajili ya wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii juu ya mradi wa Kuongeza sifa za kuajiliwa – EEVT iliyofanyika katika Ukumbi wa Benki wa Kuu ya Tanzania, Jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh Magreth Sitta na Kulia ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a4RWjjOEm8E/VVm1OSRW79I/AAAAAAAHYCQ/bWZN203Wmsc/s72-c/6.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA PPRA YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a4RWjjOEm8E/VVm1OSRW79I/AAAAAAAHYCQ/bWZN203Wmsc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nMBrFQ_8XQ/VVm1MIV6rrI/AAAAAAAHYB0/4-RqJi6AM_0/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
FINCA Microfinance Bank yazinduliwa rasmi jijini Dar leo
Hapa uzinduzi rasmi wa Finca Microfinance Bank ukifanyika leo jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa benki hiyo. Kushoto ni Zulpha Semboja na Kulia ni Rahmathi Damac warembo wa benki hiyo waliokuwa wakitoa huduma wakati wa uzinduzi huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akiwa meza kuu na viongozi wengine. Kutoka kulia ni Meneja Rasilimali Watu (HRM), Mary...