Raha, karaha za mapinduzi ya huduma za kibenki
Benki hiyo iliyoanzishwa wakati wa iliyokuwa Tanganyika chini ya ukoloni wa Ujerumani, ililenga kuratibu sarafu na noti za zilizokuwa zikitumika nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEUzpPTKi7PIvBAfw7it00YZzuJBTXKktKkGyB3rw*yFqYM-W-UMmwp4zLTTeixeuyBCcx*oYggeDFOdW16N54lV/kitime.jpg?width=650)
RAHA NA KARAHA BIA YA SITA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JF-pWsE9wxeLN*ruBAOvt*80lYyM-rS3qTfRkgZA-9jIbMDbCUULP7wk7VuUWg8a0jNvPs-9OQf5FVofsr2AAbfM7vPWxpuT/mahaba1.jpg?width=650)
MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!-2
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Raha na karaha za kusoma nje ya Tanzania
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Raha na karaha ya kusoma nje ya nchi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRATqGbBDZoOtEN6yjWslKHXuksBYqrWSHD5DD33OTf-olRVrIDk0I-EK9RZKvrboaG3yCT4x2nojiH0fFwHik3c6/mahaba.jpg?width=650)
MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXkjqGyOlM4/XoNCUqFvUuI/AAAAAAALlrw/oVsNM8wVXhIgnkOtZ3mzQbubBwsXpCHYQCLcBGAsYHQ/s72-c/daladala-dar-es-salaam.jpg)
DALADALA DAR WAANZA KUBEBA ABIRIA KWA MTINDO WA 'LEVEL SEAT'... WAKAZI WAONJA RAHA NA KARAHA YAKE.
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MAGARI ya usafiri maarufu kwa jina la Daladala leo yameanza kubeba abiri kwa idadi ya viti 'Level Seat' ikiwa ni mkakati wa kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.
Utaratibu huo umeanza leo Machi 31 mwaka huu wa 2020 na hivyo kwenye vituo mbalimbali vya daladala mamia ya abiria ya wakazi wa Jiji hilo wameonekana wakiwa kituoni kwani daladala nyingi zilikuwa zikifika vituoni yakiwa yameshajaa abiria kutokana na utaratibu...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Watumiaji wa huduma za kibenki waonywa
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali
Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).
Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Wateja wa Tigo kupata huduma za kibenki kupitia simu zao
Mkuu wa huduma za kifedha wa Tigo, Bwana Andrew Hodgson, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na huduma za kibenki kwa wateja wa Tigo. Kulia ni Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja.
Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
Kampuni ya Tigo imeingia katika ushirikiano na mabenki makubwa 17 nchini ili kuwapatia wateja wa Tigo pesa uwezo wa kutuma na kupokea pesa kutoka katika akaounti zao za benki kwenda kwenye simu...