Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raha, karaha za mapinduzi ya huduma za kibenki

Benki hiyo iliyoanzishwa wakati wa iliyokuwa Tanganyika chini ya ukoloni wa Ujerumani, ililenga kuratibu sarafu na noti za zilizokuwa zikitumika nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAHA NA KARAHA BIA YA SITA!

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo. Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake. Baada ya kumaliza chupa ya pili kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani  huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!-2

TUNAENDELEA kujifunza katika mada yetu iliyoanza wiki iliyopita, leo ikiwa ni sehemu ya mwisho. Nilishafafanua mengi lakini niliishia pale niliposema kwamba, ukweli kwa wapenzi ni jambo la msingi. Unapojaribu kudanganya wakati ukweli unao moyoni kuwa huna nia ya kumuoa (kama ni mwanaume), siku ukimuacha akitamka neno lolote baya ujue linaweza kukufika na maisha yako yakaanza kuwa hatarini (kimafanikio). Hii inamaanisha kuwa kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Raha na karaha za kusoma nje ya Tanzania

Pamoja na jitihada za Serikali kuboresha elimu nchini, wazazi wengi wanapenda kuwapeleka watoto wao nje ya nchi kusoma wakiamini kuwa huko kuna elimu bora zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Raha na karaha ya kusoma nje ya nchi

Ndoto au azma ya kupata elimu bora imewasukuma baadhi ya watu kutamani kusoma elimu yao ya juu nje ya nchi hasa Ulaya, Marekani au katika nchi za Bara la Asia.

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!

BILA shaka utakuwa mzima wa afya njema, karibu katika safu yenu ambayo huboresha uhusiano na wenzi wetu. Mpenzi msomaji wangu, mapenzi yana raha na karaha zake. Huo ni ukweli ambao hauwezi kubadilishwa, lakini pamoja na hayo, raha ya mapenzi ni furaha. Huwezi kuwa kwenye mahusiano yenye matatizo kila siku. Hata hivyo, yanaweza kuwa karaha ikiwa  utaamua iwe hivyo. Ni suala la kuamua tu. Inawezekana kero zikasababishwa na sisi...

 

5 years ago

Michuzi

DALADALA DAR WAANZA KUBEBA ABIRIA KWA MTINDO WA 'LEVEL SEAT'... WAKAZI WAONJA RAHA NA KARAHA YAKE.


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

MAGARI ya usafiri maarufu kwa jina la Daladala leo yameanza kubeba abiri kwa idadi ya viti 'Level Seat' ikiwa ni mkakati wa kupambana na  kuenea kwa virusi vya  Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.

Utaratibu huo umeanza leo Machi 31 mwaka huu wa 2020 na hivyo kwenye vituo mbalimbali vya daladala mamia ya abiria ya wakazi wa Jiji hilo wameonekana wakiwa kituoni kwani daladala nyingi zilikuwa zikifika vituoni yakiwa yameshajaa abiria kutokana na utaratibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Watumiaji wa huduma za kibenki waonywa

>Watumiaji wa huduma za kibenki wametakiwa kujiepusha na wimbi kubwa la utapeli kwa njia ya mtandao linaonekana kushika kasi siku za hivi karibuni.

 

10 years ago

Dewji Blog

ESAURP, FSDT wazindua mradi wa huduma za kibenki kuwezesha wajasiriamali

3

Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Ukuzaji wa Sekta ya Fedha (FSDT), Sosthenes Kewe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP).

4

Mkurugenzi Mtendaji wa na taasisi ya utafiti wa vyuo vikuu kusini mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wakati unaofanywa kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo kupata huduma za kibenki kupitia simu zao

DSC03177 (FILEminimizer)

Mkuu wa huduma za kifedha wa Tigo, Bwana Andrew Hodgson, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana  na huduma za kibenki kwa wateja wa Tigo. Kulia ni Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja.

DSC03188 (FILEminimizer)

Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.

Kampuni ya Tigo  imeingia katika ushirikiano na mabenki makubwa 17 nchini ili kuwapatia wateja wa Tigo pesa uwezo wa kutuma na kupokea pesa kutoka katika akaounti zao za benki kwenda kwenye simu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani