Shule yakabidhiwa mradi wa mil. 600/-
KAMPUNI ya Ophir Energy imekamilisha mradi wa maendeleo ya jamii wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 600 katika Shule ya Msingi Lilungu, Manispaa ya Mtwara-Mikindani, mkoani Mtwara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Sekondari yakabidhiwa mradi wa Sh41 milioni
11 years ago
Habarileo24 Feb
Mil. 600/- zakusanywa harambee vifaa vya matibabu ya watoto
RAIS Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia juzi aliongoza harambee ya kupatikana kwa zaidi ya Sh milioni 600 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kisasa vya matibabu kwa ajili ya Wadi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzimadarasa mawili ya shule ya msingi Loorng'oswani wilayani Simanjiro yakabidhiwa
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,...
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...
10 years ago
GPLMADARASA MAWILI YA SHULE YA MSINGI LOORNG'OSWANI WILAYANI SIMANJIRO YAKABIDHIWA
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Mradi wa mawasiliano wagharimu mil 292/-
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzani(TCAA), imesema kuwa mradi wa kuboresha kituo cha kupokea na kutuma mawasiliano ya redio zinazotumika katika usafiri wa anga kilichopo Mnyusi mkoani Tanga umegharimu shilingi...
10 years ago
Habarileo11 Jul
Mradi wa maji wa Sh mil 692 Kibati wakamilika
WANANCHI wapatao 10,000 wa vijiji vya Salawe na Hoza, Kata ya Kibati, wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro wameanza kupata huduma ya maji safi na salama kutokana na kukamilika kwa ujenzi mradi wa maji uliogharimu Sh milioni 692.1.
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mradi umeme wa upepo kutumia dola mil.132
MKUU wa Kitengo cha Miundombinu na Nishati kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) , Pascal Malesa amesema serikali inatarajia kutumia Dola za Marekani milioni 132 kukamilisha mradi wa kuzalisha umeme wa upepo wenye uwezo wa Megawati 50 ifikapo mwakani.