Kamanda Sabas amuumbua Lema
![](http://1.bp.blogspot.com/-p--aAKpUaFs/U_yAQTgotDI/AAAAAAAABic/e562o20FmP8/s72-c/Sabas%2BA%2Btown.jpg)
NA SHAABAN MDOE, ARUSHAKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amemzima mbunge wa Arusha, Godbless Lema kwa kumweleza kuwa jeshi hilo haliwajibiki kutoa taarifa za uhalifu kwa Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani. Kauli ya Kamanda Sabas imetokana na Lema kudai kuwa jeshi hilo haliwasilishi kwake taarifa za matukio ya kihalifu yanayotokea Arusha na kwamba, hiyo inaonyesha ni dharau. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda Sabas alisema polisi hawawajibiki kutoa taarifa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO CP SABAS AAGIZA MBUNGE GODBLESS LEMA ATAFUTWE, AKAMATWE POPOTE ALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, amewasili mkoani Singida na kisha kutumia nafasi hiyo ufafanuzi kuhusu matukio ya mauaji ya watu 14 yaliyotokea wilayani Manyoni mkoani humo kuanzia mwaka jana mpaka Februari mwaka huu huku akitoa maagizo ya kutafutwa na kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Akizungumza leo mkoani Singida Kamishna Sabas amewaambia waandishi wa habari kuwa taarifa hizo za uongo ambazo zilisambazwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GQiaXi78_x4/XoHqNxmIE3I/AAAAAAAAxXU/irEEWlrCO_I21qZCRBZiQXyc0ExuI0YUgCLcBGAsYHQ/s72-c/0%2B%25283%2529.jpg)
KAMANDA CP SABAS AKUTANA NA KOKOSI MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTWARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GQiaXi78_x4/XoHqNxmIE3I/AAAAAAAAxXU/irEEWlrCO_I21qZCRBZiQXyc0ExuI0YUgCLcBGAsYHQ/s640/0%2B%25283%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SN9YC9GpGW0/XoHqVGnpFdI/AAAAAAAAxXY/Tw3XYmjJhWoy_yb7WTkQ5x3L5w6ng1sKwCLcBGAsYHQ/s640/0%2B%25284%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
JK amuumbua Sitta
SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuwakejeli waandishi wa vyombo vya habari, akidai hawezi kuwashukuru kwa sababu wanapotosha habari zake, Rais Jakaya Kikwete,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1nY2cH-P3onxDxv2LxYNldlAq0pJLnKz9HNyWm5w-hFS4J8EqAMWKXWFSeMordsPdNvNj-4WjLcwJs8*MGrJAZ/FRONTAMANI.jpg)
WEMA AMUUMBUA KAJALA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coi0NpEhla3pvPmqw*ToUZFQvw4cRb6r0wOCrfnMi222LgCOqIv8r0L8FD7rPXYyPzWge2Nh8fxuUwR7AX39rrxx/nape.gif?width=650)
NAPE AMUUMBUA LOWASSA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWRIU-wg2EFETeIuEMc7Tlxa-LzCt0JB*NvSWWk1FguAUrKjk5UNMgp1ObV-C4JdYEDMp7-TU4X-6ZhuOmku9--/Sajent.jpg)
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgzxUmAcRUliO-N2yZYRsdW2vmbxyM*Ab9vbVF5sf3iu74yYrM4twsLYL0jQ*OsI*Aq359QrpTTgMkvYFfBVRQS/IGYUI.jpg?width=650)
BABA AMUUMBUA MAMA KANUMBA!
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Shahidi amuumbua mshtakiwa mahakamani