NAPE AMUUMBUA LOWASSA!
![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coi0NpEhla3pvPmqw*ToUZFQvw4cRb6r0wOCrfnMi222LgCOqIv8r0L8FD7rPXYyPzWge2Nh8fxuUwR7AX39rrxx/nape.gif?width=650)
Erick Evarist KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) Nape Nnauye amemuumbua waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kumwelezea kama mtu aliyenunua nafasi anayoigombea kwa Chama Cha Maendeleo na Demoktrasia (Chadema). Â ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1TMQte0
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Nape ampongeza Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-27March2015.jpg)
Nape amesema hatua hiyo ya Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli ni nzuri kwa kuamua kusitisha makundi kwenda kumshawishi agombee urais, ambayo kwa siku chache mfululizo yalikwenda nyumbani kwake Monduli na mjini Dodoma kwa nia hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana akiwa katika...
9 years ago
Habarileo28 Sep
Nape aponda kadi alizopewa Lowassa
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema kadi za chama hicho alizokabidhiwa Mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa akiwa Jimbo la Mtama si za kweli, bali mpango uliotengenezwa ili wajipatie umaarufu.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nUOxkgVjY2U/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Nape: Muombeeni dua Lowassa ashuhudie matokeo
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Lowassa atua kwa Nape, Sumaye, Tambwe wamvaa
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
JK amuumbua Sitta
SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuwakejeli waandishi wa vyombo vya habari, akidai hawezi kuwashukuru kwa sababu wanapotosha habari zake, Rais Jakaya Kikwete,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWRIU-wg2EFETeIuEMc7Tlxa-LzCt0JB*NvSWWk1FguAUrKjk5UNMgp1ObV-C4JdYEDMp7-TU4X-6ZhuOmku9--/Sajent.jpg)
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT