JK amuumbua Sitta
SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuwakejeli waandishi wa vyombo vya habari, akidai hawezi kuwashukuru kwa sababu wanapotosha habari zake, Rais Jakaya Kikwete,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWRIU-wg2EFETeIuEMc7Tlxa-LzCt0JB*NvSWWk1FguAUrKjk5UNMgp1ObV-C4JdYEDMp7-TU4X-6ZhuOmku9--/Sajent.jpg)
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coi0NpEhla3pvPmqw*ToUZFQvw4cRb6r0wOCrfnMi222LgCOqIv8r0L8FD7rPXYyPzWge2Nh8fxuUwR7AX39rrxx/nape.gif?width=650)
NAPE AMUUMBUA LOWASSA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1nY2cH-P3onxDxv2LxYNldlAq0pJLnKz9HNyWm5w-hFS4J8EqAMWKXWFSeMordsPdNvNj-4WjLcwJs8*MGrJAZ/FRONTAMANI.jpg)
WEMA AMUUMBUA KAJALA
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Shahidi amuumbua mshtakiwa mahakamani
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-p--aAKpUaFs/U_yAQTgotDI/AAAAAAAABic/e562o20FmP8/s72-c/Sabas%2BA%2Btown.jpg)
Kamanda Sabas amuumbua Lema
NA SHAABAN MDOE, ARUSHAKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amemzima mbunge wa Arusha, Godbless Lema kwa kumweleza kuwa jeshi hilo haliwajibiki kutoa taarifa za uhalifu kwa Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani. Kauli ya Kamanda Sabas imetokana na Lema kudai kuwa jeshi hilo haliwasilishi kwake taarifa za matukio ya kihalifu yanayotokea Arusha na kwamba, hiyo inaonyesha ni dharau. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda Sabas alisema polisi hawawajibiki kutoa taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgzxUmAcRUliO-N2yZYRsdW2vmbxyM*Ab9vbVF5sf3iu74yYrM4twsLYL0jQ*OsI*Aq359QrpTTgMkvYFfBVRQS/IGYUI.jpg?width=650)
BABA AMUUMBUA MAMA KANUMBA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoahnSaMCwz8koZ4YOJAkRgHNDrQh91-kkwVH*-3wdKu09x0oa9PK6U3rNfIoY1*6dHbowu*3VPtEaTRJxFNOne/wasarapdf.jpg)
WASTARA AMUUMBUA SHIJA KWA UONGO!
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.
Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".
Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
News Alert!!:Rais Jakaya Kikwete amuumbua Afisa SUMATRA! awalipua kwa kuchochea migogoro nchini
Rais Dk. Jakaya Kikwete.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amemuumbua mtendaji wa SUMATRA nchini kwa kile alichokieleza kuwa anakibagua chama kipya cha madereva hali ambayo inasababisha madereva hao kukosa mikataba yao na kusabisha mifarakano baina ya madereva na waajili.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Dk Oscar Kikoyo alijikuta katika wakati mgumu pale Rais JK...