Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema: Mimi Mbunge wa milele Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ametamba kuwa yeye ni Mbunge wa milele katika jimbo hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LAMPA ONYO MBUNGE GODBLES LEMA.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna.
Na.Vero Ignatus ,Arusha
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limesema limepokea maelekezo ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ya kuhakikisha wachochozi wote pamoja na wanaochafua taswira nzuri ya nchi ya Tanzania wanakamatwa
Akizungumza na vyombo vya habari Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa wamelipokea agizo hio na kulitekeleza kwa asilimia 100 na watawasaka popote walipo bila kujali nafasi zao walizonazo.
Alisema nimeona...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike 





















Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini  Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI GODBLESS LEMA, NINGETHIBITISHA KAULI YANGU KUHUSU CHAGONJA

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Kwako Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Najua hunijui na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hilo halinizuii kukufikishia ujumbe ninaotaka kukupa. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Oktoba 26, 1976 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Kalangala kuanzia mwaka 1983 hadi 1989 wala sikujiunga na Sekondari ya Geita na baadaye kusoma kidato cha tano na sita...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge Lema ajisalimisha Polisi

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amejisalimisha Polisi jijini hapa, ingawa amesema hawezi kuhojiwa kwa kuwa wakili wake hayupo. Lema alisema hayo leo jijini hapa wakati akitoka Kituo Kikuu cha Polisi .

 

10 years ago

Daily News

Arusha demo wants Lema out


Arusha demo wants Lema out
Daily News
MORE than 1,000 youths have demonstrated against Arusha Urban Member of Parliament Godbless Lema's intention to defend his parliamentary seat in the coming general elections, describing him as “the mastermind behind all the life-costing bedlams in ...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE LEMA APANDISHWA KIZIMBANI SINGIDA ATUHUMIWA MAKOSA 15


Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida ambapo alisomewa mashitaka akituhumiwa kwa makosa 15.
Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akizungumza na wanasheria na makada wa chama hicho baada ya kusomewa mashitaka.



Na Ismail Luhamba, Singida


MBUNGE wa Arusha Mjini na...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE LEMA APANDISHWA KIZIMBANI SINGIDA ATUHUMIWA MAKOSA 15

Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida ambapo alisomewa mashitaka akituhumiwa kwa makosa 15.
Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akizungumza na wanasheria na makada wa chama hicho baada ya kusomewa mashitaka.



Na Ismail Luhamba, Singida


MBUNGE wa Arusha Mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

RC Arusha anusuru mikutano ya Lema

Hatimaye Jeshi la Polisi wilayani Arusha limeruhusu mikutano ya hadhara ya Mbunge wa Arusha (Chadema), Godbless Lema baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo kuingilia kati.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lema amuonya RC mpya Arusha

MBUNGE wa Arusha Godbless Lema (CHADEMA), amemtaka Mkuu wa Mkoa mpya, Mhandisi Everist Ndikilo, kuhakikisha anaepuka kuwa chanzo cha mivurugano kama ilivyokuwa kwa jiji la Mwanza analotoka. Rais Jakaya Kikwete,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani