Dawa ni Kuacha Ngono, Mayai ya Kware Hayatibu UKIMWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Swhl3CwEXUY/VS51uZaAw_I/AAAAAAAAr8w/alxdMUOez-Q/s72-c/mayai%2Bya%2Bkware.jpg)
Hivi karibuni nilikuwa Dar es salaam kwa likizo fupi, nikashangaa mtaani kwetu, msiniulize maeneo gani, nilikuta wakaazi wengi waliokuwa wakifuga kuku wa mayai au wa nyama wamebadili biashara na sasa wanafuga ndege aina ya Kware na wanauza mayai yake kam njugu.Nilipodadisi niliambiwa yanatumiwa na waathirika wa ugnjwa wa UKIMWI maana wameambiwa na wataalmu wetu kwamba mayai ya Kware yanatibu UKIMWI.
Nilishangaa zaidi kusiki eti dozi yake ni mayai matano kwa siku kila siku na baada ya kutumia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s72-c/Untitled1.png)
SOMO LA UFUGAJI: UZURI WA MAYAI YA KWARE KAMA CHAKULA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e5XLeDtcRys/U_xEZGSB7bI/AAAAAAAGCc0/HnANso-Dm-g/s1600/Untitled2.png)
Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi hizo bado wana imani kuwa ndege huyu hawezi kufungwa kama hatakimbia basi atajiua, lakini kwa wale wanaotaka kumfuga ndege huyu mdogo mwenye mayai matamu ya madoa doa wanaweza sasa inaweza kugeuka chanzo cha mapato na sehemu ya chakula bora kwa familia.
Leo ningependa niingie ndani kuwa nini hasa tofauti ya mayai ya kware na...
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Watanzania watakiwa kuacha ngono zembe
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya Virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean Bwanakunu (kulia).(Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Watanzania wametakiwa kuepukana vitendo vya kuhamasisha ngono zembe itakayosababisha maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean...
11 years ago
BBCSwahili21 Nov
Ngono kwanza, dawa baadaye
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W3**pg5he8M5qOUz4OPMPEGpP*QAR3Z8Jc9IdvY91OTNptGpxElPfWgDBa4oWeieuSZIjYyHJ*hIjRT*YfsLeXn/dawa.jpg)
DAWA YA UKIMWI HIYOOO
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Dawa mpya ya ukimwi yakosolewa
10 years ago
Habarileo26 Mar
NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.
11 years ago
Mwananchi09 May
Usugu wa dawa ni hatari kuliko Ukimwi
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Bei ya dawa ya Ukimwi yapandishwa 5000%
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Sababu 10 zinazotia moyo dawa mpya ya Ukimwi