Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uendeshaji baisikeli salama Afrika?

Miji barani huwa na msongamano wa watu na magari na usafiri ni shida na hivyo kuhitaji mbinu mpya lakini uendeshaji baisikeli ni salama?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Licha ya ebola, Afrika iko salama

RAIS Jakaya Kikwete ametoa changamoto kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Afrika katika Jamhuri ya Watu wa China kuendelea kutangaza habari njema kuwa bado ni salama kutembelea Bara la Afrika pamoja na kuzuka kwa ugonjwa wa ebola ambao umeua maelfu ya watu hasa katika nchi tatu za Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu

Ni rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununu baisekli watu wengi wakitaka bei nafuu. Nyingi ya baiskeli nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 shilingi lakini moja na arobaini pesa za Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wendesha baisikeli wapiga vita kisukari

Hakuna mwanariadha anae kubali udhaifu haswa wakiwa wamehusishwa katika michezo migumu duniani.

 

10 years ago

Michuzi

Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Dewji Blog

Raia 32 kati ya 37 wa Afrika Kusini wafika kilele cha Uhuru kuchangisha fedha kwa ajili ya watoto yatima washuka salama

Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, Erastus Rufunguro akimpokea muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Afrka Kusini, Jacky Devnarain maarufu kama Rajesh Kumar, jina alilotumia katika tamthiliya ya Isidingo the Need aliposhuka yeye na wenzie 37 waliopanda mlima huo kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wasichana wanaotoka katika familia maskini. Mhifadhi Utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, Eva Mallya akimpatia kinywaji, Muigizaji Jacky mara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walia na uendeshaji wa kesi za mifugo

KUNDI la wakulima katika Kijiji cha Pongwe Kiona wamelalamikia uendeshwaji wa kesi za migogoro baina yao na wafugaji hatua inayochangia kuendelea kujitokeza kwa manyanyaso kwa kundi hilo. Wakizungumza katika mkutano...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yaelekeza uendeshaji wa sekondari zake za bweni

SERIKALI inatarajiwa kutoa utaratibu wa namna wanafunzi wa shule za Serikali za mabweni, watakavyosoma huku ikionya wakuu wa shule watakaodai ada au michango ya aina yoyote, kwamba watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani