Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shati alizozipenda Mandela

Mandela hakusifika tu kwa ushujaa wake bali pia kwa mavazi yake. Lakini nani alikuwa anamshonea shati zake za kipekee?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESTER AKUTWA NA SHATI LA DUDE

Imelda Mtema
Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama amenaswa akiwa ametinga shati linalodaiwa kuwa la staa wa kiume wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama. Mpashaji wetu alisema alimnasa mwanadada huyo akiwa anakatiza mitaani na shati hilo ambalo mara nyingi analivaa Dude akamfotoa picha za kutosha kwani kitendo...

 

11 years ago

Habarileo

Makinda apinga shati la kitenge bungeni

VAZI la kitenge kwa wanaume jana liliamsha mabishano kwenye semina ya wabunge ambapo baadhi ya wajumbe wametaka wanaume waruhusiwe kuvaa mashati ya kitenge na batiki. Miongoni mwa waliotaka kuvaliwe kwa shati la kitenge na batiki ni John Mnyika, Maria Sarungi na Ezekiah Wenje huku Anne Makinda, Hawa Ghasia, Joshua Nassari na George Simbachawene wakipinga vazi hilo kuvaliwa kwenye vikao vya bunge hilo la katiba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake

Mwanariadha wa Ufaransa, alimaliza wa kwanza katika mbio za mita 3,000 lakini akavua shati lake

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi stadi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO

Kikosi cha Timu ya Soka ya Simba   Kikosi cha Timu ya Soka ya Mtibwa  Waamuzi wa Mchezo wa Leo wakiwa na Manaodha wa Timu Zote Mbili.  Wachezaji wa Timu ya Soka ya Mtibwa Sugar Wkishanilia Goli Lililofungwa na Musa Mgosi  Katika Dakika ya 18 ya Mchezo.  Rashid Baba Ubaya Akitafuta Mbinu za Kumtoka Beki wa Mtibwa Sugar Said Mkopi.  Kipa wa Mtibwa Hasani  Sharifu    Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo huo wakishangilia muda wote wa Mchezo  Golikipa wa Timu ya Mtibwa Sugar Hussein...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

9 years ago

MillardAyo

Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!!

Kuna wakati Vyuo vikuu Tanzania ilibidi zianze kutangazwa na kupitishwa kanuni za mavazi ambayo wanafunzi wanatakiwa kuvaa, ule uhuru ulifanya wengine kuvaa mpaka nguo ambazo sio sahihi kuvaa hadharani !! Pata picha ni mgahawani na bado hauruhusiwi kuvaa nguo za aina fulani. Mgahawa huo wa McDonald ulipo maeneo ya Oak Wood, Melbourne Australia waliweka tangazo la […]

The post Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!! appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani