Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda apinga shati la kitenge bungeni

VAZI la kitenge kwa wanaume jana liliamsha mabishano kwenye semina ya wabunge ambapo baadhi ya wajumbe wametaka wanaume waruhusiwe kuvaa mashati ya kitenge na batiki. Miongoni mwa waliotaka kuvaliwe kwa shati la kitenge na batiki ni John Mnyika, Maria Sarungi na Ezekiah Wenje huku Anne Makinda, Hawa Ghasia, Joshua Nassari na George Simbachawene wakipinga vazi hilo kuvaliwa kwenye vikao vya bunge hilo la katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Makinda akemea 'utajiri' bungeni

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda ametaka wanaotarajia kugombea katika uchaguzi mkuu wa 2015 kujiweka sawa kiuchumi badala ya kutegemea kutajirika wakiwa bungeni. Wakati Makinda akitoa ushauri huo kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba, kwa upande wake Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake, Anna Abdalah amesema wanaosema posho ya Sh 300,000 kwa siku haitoshi wana sababu zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge kwa muda, wabunge wapiga kelele

 

10 years ago

Vijimambo

Vuta nikuvute Bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge

Spika wa Bunge Anna Makinda amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vuta nikuvute iliyotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .Akizungumza katika bunge hilo Mbatia amesema kuwa kitendo cha polisi cha kuwapiga raia wasiokuwa na hatia, kuwazalilisha waandishi wa habari na kupiga mabomu ya machozi kiasi cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

BREAKING NEWS:Spika Makinda akatisha Bunge kunusuru fujo Bungeni Dodoma leo

8517823001

Spika wa Bunge, Anne Makinda  saa moja iliyopita mjini Dodoma, ameamua kukatisha kikao cha 19 cha Bunge kilichokuwa kikiendelea mjini humo kufuaatia Wabunge kusimama  kwa kumshinikiza Waziri Mkuu atoe kauli ya juu ya Zoezi la uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura  lililokuwa likiendelea Mkoa wa Njombe, huku likikabiliwa na changamoto nyingi, ikiwamo mashine za Biometric Voter Registration (BVR), kushindwa kufanya kazi ipasavyo na matatizo juu ya zoezi hilo.

maji-mnyika

 

11 years ago

BBCSwahili

Shati alizozipenda Mandela

Mandela hakusifika tu kwa ushujaa wake bali pia kwa mavazi yake. Lakini nani alikuwa anamshonea shati zake za kipekee?

 

10 years ago

GPL

ESTER AKUTWA NA SHATI LA DUDE

Imelda Mtema
Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama amenaswa akiwa ametinga shati linalodaiwa kuwa la staa wa kiume wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Msanii anayekuja juu kwa kasi kwenye gemu la filamu Bongo, Ester Kihama. Mpashaji wetu alisema alimnasa mwanadada huyo akiwa anakatiza mitaani na shati hilo ambalo mara nyingi analivaa Dude akamfotoa picha za kutosha kwani kitendo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fundi stadi asiyeona aliyemshonea Kikwete shati

Bw Abdallah Nyangalio ni fundi wa nguo asiyeona na ambaye amekuwa maarufu Tanzania kiasi kwamba aliwahi kumshonea Rais Jakaya Kikwete shati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani