Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKINYO KUWANIA UBINGWA WA WBO SUPER WELTER WEIGHT DHIDI YA MJERUMANI

Bondia wa Super Welter Weight Mtanzania Hassan Mwakinyo anashuka ulingoni nchini Ujerumani kupigana na bondia Mjerumani Jack Culcay kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO International Super Welter Weight.

Pambano hilo litakalopigwa nchini Ujerumani litafanyika Machi 21 mwaka huu.

Mwakinyo (24) ambaye katika uzito wa Super Welter anashika nafasi ya kwanza kwa ubora barani Afrika  na namba 20 Duniani , atakuwa ni bondia wa kwanza Mtanzania kugombea mkanda huo ambao ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.

2EE44F8100000578-0-image-m-16_1448835936181

Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.

151128233803_klitschko_fury_640x360_getty

Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...

 

10 years ago

Michuzi

UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO

 Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada ya Tabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara unaoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mashabiki wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe. Mshambuliaji Wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Shabiki wa Yanga...

 

9 years ago

Michuzi

MABONDIA HAMISI MWAKINYO NA MESHACK MWANKEMWA KUPIGANA KESHO JUMAMOSI

Bondia Hamisi Mwakinyo kushoto akitunishiana misuli na Meshach Mwankemwa baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na  Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBC  katikati ni promomota kutoka katika kampuni ya Golden boy Afrika Shomari Kimbau Picha na SUPER D BOXING NESW.Promota Shomari Kimbau akiwainua mikono juu mabondia Asha Nzowa kushoto na Joyce Awino baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


 Rais wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yamlenga mjerumani Kramer

Arsenal wako tayari kutoa pauni milion 20 kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya ujerumani Christoph Kramer, 23, anayechezea timu ya Borussia Monchengladbach

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani aziita Simba, Yanga

Kocha Martin Grelics aliyejiuzulu kuifundisha Toto Africans hivi karibuni, amesema yuko tayari kuzifundisha Simba au Yanga iwapo zitahitaji huduma yake.

 

11 years ago

Habarileo

Mjerumani aliyenasa Mlima Kilimanjaro aokolewa

KIKOSI cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii kutoka Ujerumani, Jeanne Traska (32) na mwongoza wageni, Athuman Juma waliokuwa wamekwama kwenye kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro.

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga

Licha ya kuisifu Yanga kama moja ya timu kubwa na bora nchini, kocha mkuu wa Toto Africans ya Mwanza, Martin Glerics amesema hatambui kama kuna undugu kati ya timu hizo na atahakikisha anaifunga kila atakapokutana nayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani