MWAKINYO KUWANIA UBINGWA WA WBO SUPER WELTER WEIGHT DHIDI YA MJERUMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqJ7ijFNYRw/Xl0bbKf_k2I/AAAAAAALgao/JVYoCYcjI4g1f-y0UyWoerWu3GySVYA1gCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Bondia wa Super Welter Weight Mtanzania Hassan Mwakinyo anashuka ulingoni nchini Ujerumani kupigana na bondia Mjerumani Jack Culcay kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO International Super Welter Weight.
Pambano hilo litakalopigwa nchini Ujerumani litafanyika Machi 21 mwaka huu.
Mwakinyo (24) ambaye katika uzito wa Super Welter anashika nafasi ya kwanza kwa ubora barani Afrika na namba 20 Duniani , atakuwa ni bondia wa kwanza Mtanzania kugombea mkanda huo ambao ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO
![2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198-300x194.jpg)
Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s72-c/1.jpg)
UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qF5arxuyb0/VT5FqAw_1uI/AAAAAAABYCc/_vI0qgaaY5g/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nGLNQDZ1Pdo/VT5FwwOv5vI/AAAAAAABYCk/dh0LdXeS86U/s1600/3..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gAylGNOAXg/VT5F7XdoHRI/AAAAAAABYC0/gt5d6pj1ASk/s1600/4.jpg)
9 years ago
MichuziMABONDIA HAMISI MWAKINYO NA MESHACK MWANKEMWA KUPIGANA KESHO JUMAMOSI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Arsenal yamlenga mjerumani Kramer
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Mjerumani aziita Simba, Yanga
11 years ago
Habarileo24 Mar
Mjerumani aliyenasa Mlima Kilimanjaro aokolewa
KIKOSI cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii kutoka Ujerumani, Jeanne Traska (32) na mwongoza wageni, Athuman Juma waliokuwa wamekwama kwenye kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga