Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yamlenga mjerumani Kramer

Arsenal wako tayari kutoa pauni milion 20 kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya ujerumani Christoph Kramer, 23, anayechezea timu ya Borussia Monchengladbach

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yamlenga Carvalho na Sissoko

Arsenal wanadaiwa kumfukuzia William Carvalho na kiungo wa kati wa Newcastle Sissoko

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yamlenga kiongozi wa Hamas

Kikundi cha Hamas kimesema mke na mtoto wa kamanda wake wa kijeshi, Mohammed Deif, wameuawa katika shambulio la Israel

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani aziita Simba, Yanga

Kocha Martin Grelics aliyejiuzulu kuifundisha Toto Africans hivi karibuni, amesema yuko tayari kuzifundisha Simba au Yanga iwapo zitahitaji huduma yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga

Licha ya kuisifu Yanga kama moja ya timu kubwa na bora nchini, kocha mkuu wa Toto Africans ya Mwanza, Martin Glerics amesema hatambui kama kuna undugu kati ya timu hizo na atahakikisha anaifunga kila atakapokutana nayo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Toto African yamsaka kocha Mjerumani

KLABU ya Toto African ya   Mwanza inatarajia  kumpata kocha mpya  kutoka Ujerumani  Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu  ujao.

Timu ya Toto African iliyopata daraja   msimu  uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema  kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza  kuiandaa timu yao.

Gau alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjerumani kuchukua mikoba ya Kim Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajia kumwajiri kocha mpya, Michael Krüger, raia wa Ujerumani, kurithi nafasi ya kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mdenish Kim Poulsen,...

 

11 years ago

Habarileo

Mjerumani aliyenasa Mlima Kilimanjaro aokolewa

KIKOSI cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii kutoka Ujerumani, Jeanne Traska (32) na mwongoza wageni, Athuman Juma waliokuwa wamekwama kwenye kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga

Kocha Mjerumani aliyebwaga manyanga ya kuinoa Toto Africans, Martin Grelics amesifu aina ya soka ambalo timu ya Simba imekuwa ikicheza, huku akishangazwa na kiwango cha Yanga.

 

5 years ago

Michuzi

MWAKINYO KUWANIA UBINGWA WA WBO SUPER WELTER WEIGHT DHIDI YA MJERUMANI

Bondia wa Super Welter Weight Mtanzania Hassan Mwakinyo anashuka ulingoni nchini Ujerumani kupigana na bondia Mjerumani Jack Culcay kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO International Super Welter Weight.

Pambano hilo litakalopigwa nchini Ujerumani litafanyika Machi 21 mwaka huu.

Mwakinyo (24) ambaye katika uzito wa Super Welter anashika nafasi ya kwanza kwa ubora barani Afrika  na namba 20 Duniani , atakuwa ni bondia wa kwanza Mtanzania kugombea mkanda huo ambao ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani