Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Historia: Ujerumani na Argentina

Argentina na Ujerumani zitachuana katika fainali ..Je wajua itakuwa mara ya 3 katika historia?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina

Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Argentina yaichapa Ujerumani 4-2

Timu ya taifa ya Argentina imeicharaza Ujerumani magoli 4-2 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa

 

11 years ago

BBCSwahili

Fainali : Argentina vs Ujerumani

Hauchi hauchi hatimaye fainali ya kombe la dunia ni leo ! Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali

Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.

 

11 years ago

BBCSwahili

Argentina na Ujerumani katika Fainali

Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani katika fainali ya kombe la dunia

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali

Timu ya soka ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia baada kuitungua Uholanzi kwa mikwaju ya penalti 4-2, katika mchezo wa jana wa nusu fainali nchini Brazil.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujerumani, Argentina, Algeria zimeonyesha njia

Pamoja na kuwakusanya pamoja watu wa mataifa mbalimbali duniani, mchezo wa soka kwa kipindi cha hivi karibuni umekuwa ni mojawapo ya njia zinazoweza kutumika kusaidia jamii.

 

11 years ago

GPL

UJERUMANI VS ARGENTINA: MTOTO HATUMWI SOKONI LEO

NI Ujerumani vs Argentina usiku wa leo. MIAMBA miwili ya soka duniani, Ujerumani na Argentina inakutana kwa mara nyingine katika fainali za Kombe la Dunia 2014 usiku huu katika Uwanja wa Maracana, Rio de Jeneiro nchini Brazil. Timu hizo zinakutana kwa mara ya tatu katika fainali za Kombe la Dunia ambapo mwaka 1986 zilikutana katika fainali iliyopigwa nchini Mexico na Argentina kutwaa kombe baada ya ushindi wa mabao 3-2. 1990 timu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani