UJERUMANI VS ARGENTINA: MTOTO HATUMWI SOKONI LEO
![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpYWk4T6KAC0oEcrCeyEYOALN*afGPuiYvh0Vg31GdPTxeXMzqHi1QPJ*ygTATFMTJOvtBy3bcp4geOyYUrxqYO/fainali.jpg?width=650)
NI Ujerumani vs Argentina usiku wa leo. MIAMBA miwili ya soka duniani, Ujerumani na Argentina inakutana kwa mara nyingine katika fainali za Kombe la Dunia 2014 usiku huu katika Uwanja wa Maracana, Rio de Jeneiro nchini Brazil. Timu hizo zinakutana kwa mara ya tatu katika fainali za Kombe la Dunia ambapo mwaka 1986 zilikutana katika fainali iliyopigwa nchini Mexico na Argentina kutwaa kombe baada ya ushindi wa mabao 3-2. 1990 timu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibY57*oUmpzg8SGooM*KgS0RqRMzDFOIvFzH6fUCIc3YjsdQ1FnzimX7QpLDnkmD4Md89KLpkgbTxT7hSDVjk8j/AZAMVSYANGA.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM, MTOTO HATUMWI SOKONI LEO
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
YANGA VS AL AHLY: Hatumwi mtoto dukani leo
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu barani Afrika, Yanga, leo wanashuka Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuumana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly...
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mtoto hatumwi dukani leo, Ni katika ufungaji wa kampeni za CCM jijini Mwanza
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu (Pichani) amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya shughuli ya kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu kitaifa kwa upande wa Chama hicho inayotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa CCM Kirumba yamekamilika.
Na:George Binagi-GB PazzoScreen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo...
9 years ago
MichuziMTOTO HATUMWI DUKANI LEO . NI KATIKA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM JIJINI MWANZA.
Na:George Binagi-GB PazzoScreen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo jirani.
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Ujerumani, Argentina mshike mshike leo
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Argentina yaichapa Ujerumani 4-2
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Historia: Ujerumani na Argentina
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Fainali : Argentina vs Ujerumani