Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJERUMANI VS ARGENTINA: MTOTO HATUMWI SOKONI LEO

NI Ujerumani vs Argentina usiku wa leo. MIAMBA miwili ya soka duniani, Ujerumani na Argentina inakutana kwa mara nyingine katika fainali za Kombe la Dunia 2014 usiku huu katika Uwanja wa Maracana, Rio de Jeneiro nchini Brazil. Timu hizo zinakutana kwa mara ya tatu katika fainali za Kombe la Dunia ambapo mwaka 1986 zilikutana katika fainali iliyopigwa nchini Mexico na Argentina kutwaa kombe baada ya ushindi wa mabao 3-2. 1990 timu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA VS AZAM, MTOTO HATUMWI SOKONI LEO

PAZIA la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara linafunguliwa leo kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Kikosi cha Young Africans Sports Club. Young Africans ambayo imekuwa na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

YANGA VS AL AHLY: Hatumwi mtoto dukani leo

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu barani Afrika, Yanga, leo wanashuka Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuumana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto hatumwi dukani leo, Ni katika ufungaji wa kampeni za CCM jijini Mwanza

Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu (Pichani) amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya shughuli ya kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu kitaifa kwa upande wa Chama hicho inayotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa CCM Kirumba yamekamilika.

Na:George Binagi-GB Pazzo

Screen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo...

 

9 years ago

Michuzi

MTOTO HATUMWI DUKANI LEO . NI KATIKA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM JIJINI MWANZA.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu (Pichani) amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya shughuli ya kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu kitaifa kwa upande wa Chama hicho inayotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa CCM Kirumba yamekamilika.
Na:George Binagi-GB PazzoScreen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo jirani.Mbali...

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

11 years ago

Mwananchi

Ujerumani, Argentina mshike mshike leo

Ujerumani na Argentina kila moja inashuka kwenye Uwanja wa Maracana kwa lengo moja tu la kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Argentina yaichapa Ujerumani 4-2

Timu ya taifa ya Argentina imeicharaza Ujerumani magoli 4-2 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa

 

11 years ago

BBCSwahili

Historia: Ujerumani na Argentina

Argentina na Ujerumani zitachuana katika fainali ..Je wajua itakuwa mara ya 3 katika historia?

 

11 years ago

BBCSwahili

Fainali : Argentina vs Ujerumani

Hauchi hauchi hatimaye fainali ya kombe la dunia ni leo ! Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani