YANGA VS AZAM, MTOTO HATUMWI SOKONI LEO
![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibY57*oUmpzg8SGooM*KgS0RqRMzDFOIvFzH6fUCIc3YjsdQ1FnzimX7QpLDnkmD4Md89KLpkgbTxT7hSDVjk8j/AZAMVSYANGA.jpg?width=650)
PAZIA la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara linafunguliwa leo kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Kikosi cha Young Africans Sports Club. Young Africans ambayo imekuwa na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpYWk4T6KAC0oEcrCeyEYOALN*afGPuiYvh0Vg31GdPTxeXMzqHi1QPJ*ygTATFMTJOvtBy3bcp4geOyYUrxqYO/fainali.jpg?width=650)
UJERUMANI VS ARGENTINA: MTOTO HATUMWI SOKONI LEO
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
YANGA VS AL AHLY: Hatumwi mtoto dukani leo
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu barani Afrika, Yanga, leo wanashuka Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuumana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly...
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mtoto hatumwi dukani leo, Ni katika ufungaji wa kampeni za CCM jijini Mwanza
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu (Pichani) amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya shughuli ya kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu kitaifa kwa upande wa Chama hicho inayotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa CCM Kirumba yamekamilika.
Na:George Binagi-GB PazzoScreen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo...
9 years ago
MichuziMTOTO HATUMWI DUKANI LEO . NI KATIKA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM JIJINI MWANZA.
Na:George Binagi-GB PazzoScreen kubwa itafungwa nje ya uwanja huo kwa ajili ya wale watakaokosa nafasi ya kuingia uwanjani kwa kuwa shughuli hiyo inatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na Maeneo jirani.
10 years ago
Habarileo12 Aug
Yanga, Azam viwanjani leo
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame Azam FC leo wanashuka dimbani kwenye viwanja viwili tofauti kujipima katika michezo ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuelekea kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Yanga yaua, Azam leo
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
9 years ago
Habarileo03 Jan
Yanga, Azam zina kazi leo
VINARA wa Ligi Kuu bara Azam, Yanga na Mtibwa Sugar leo wapo Zanzibar kwenye uwanja wa Amani katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Pazia la michuano hiyo ya kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi linafunguliwa leo ambapo macho na masikio ya mashabiki wa soka kwa Bara na Zanzibar yote yapo kwenye michuano hiyo baada ya ligi zote kusimama kwa muda.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Yanga kumbakumba, Simba, Azam leo