Yanga, Azam zina kazi leo
VINARA wa Ligi Kuu bara Azam, Yanga na Mtibwa Sugar leo wapo Zanzibar kwenye uwanja wa Amani katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Pazia la michuano hiyo ya kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi linafunguliwa leo ambapo macho na masikio ya mashabiki wa soka kwa Bara na Zanzibar yote yapo kwenye michuano hiyo baada ya ligi zote kusimama kwa muda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Yanga, Azam zina ndoto tofauti
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Yanga yaua, Azam leo
10 years ago
Habarileo12 Aug
Yanga, Azam viwanjani leo
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame Azam FC leo wanashuka dimbani kwenye viwanja viwili tofauti kujipima katika michezo ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuelekea kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*W2QJ-NIHqaJJLcjYNgU42jlYyImsQr9atZosHEt2t8cZG0sr5Xrvahb3td5kjNVBJVul3uZ6SrVxAIVQv-PmIH/yanganaazam.jpg?width=650)
NANI KUCHEKA LEO, YANGA AU AZAM?
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Yanga kumbakumba, Simba, Azam leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibY57*oUmpzg8SGooM*KgS0RqRMzDFOIvFzH6fUCIc3YjsdQ1FnzimX7QpLDnkmD4Md89KLpkgbTxT7hSDVjk8j/AZAMVSYANGA.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM, MTOTO HATUMWI SOKONI LEO
9 years ago
Vijimambo22 Aug
AZAM NA YANGA TAIFA LEO KOMBE LA NGAO
![](http://www.timesfm.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Azam-Na-Yanga.jpg)
Mpaka sasa ni 0-0 mpira ni mapumziko
Washambuliaji wa Yanga Saimon Msuva, Donald Ngoma raia wa Botoswana na Vicent Bossou raia wa Mali wanaitetekisha ngome ya Azam kila Mara kutokana na mashambulizi ya Mara Kwa Mara kutoka Kwa winga wao Kijana mdogo Geofrey Mwashiuya. Yanga kipindi cha kwanza walitoa mashambulizi kutoka upande wa Kusin kenda kaskazini kipindi cha pili Yanga watatoa mashambulizi kutoka kaskazini kwenda Kusin, historian ya uwanja huu wa Taifa goli la upande wa kusini uwa...
11 years ago
MichuziAZAM YACHOMOA, YATOKA SARE NA YANGA LEO NESHNO