Yanga, Azam zina ndoto tofauti
Yanga na Azam zinaogelea kwenye mabwawa tofauti ya Ligi Kuu kwa sasa, ingawa ni Azam zaidi inayopaswa kuangalia mwenendo wake kama inataka ubingwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo03 Jan
Yanga, Azam zina kazi leo
VINARA wa Ligi Kuu bara Azam, Yanga na Mtibwa Sugar leo wapo Zanzibar kwenye uwanja wa Amani katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Pazia la michuano hiyo ya kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi linafunguliwa leo ambapo macho na masikio ya mashabiki wa soka kwa Bara na Zanzibar yote yapo kwenye michuano hiyo baada ya ligi zote kusimama kwa muda.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Al Ahly yazima ndoto za Yanga
10 years ago
Mtanzania15 May
Yanga yazima ndoto za Msuva Sauzi
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
NDOTO za mshambuliaji wa timu ya Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, Simon Msuva kucheza soka la kulipwa katika timu ya Bidvest Wits nchini Afrika Kusini zimefutika, baada ya uongozi wa Wanajangwani hao kumzuia mchezaji huyo kuondoka.
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo zililieleza MTANZANIA jana kuwa, maamuzi hayo yalitolewa katika kikao kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilisema...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Yanga, Simba waja na mbinu tofauti
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv