Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Ahly yazima ndoto za Yanga

Ndoto za Mabingwa wa soka Tanzania bara,Yanga ya Tanzania kutinga hatua ya 16 bora katika Michuano ya Soka klabu Bingwa barani Afrika,imefikia ukingoni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yazima ndoto za Msuva Sauzi

msuvaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
NDOTO za mshambuliaji wa timu ya Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, Simon Msuva kucheza soka la kulipwa katika timu ya Bidvest Wits nchini Afrika Kusini zimefutika, baada ya uongozi wa Wanajangwani hao kumzuia mchezaji huyo kuondoka.
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo zililieleza MTANZANIA jana kuwa, maamuzi hayo yalitolewa katika kikao kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

11 years ago

GPL

Al Ahly watimuliwa hoteli ya Yanga SC

UONGOZI wa Hoteli ya Sheraton Montazah jijini hapa, ulifanya kitendo ambacho wengi hawakukitegemea baada ya kugoma kuipokea timu ya Al Ahly. Ahly pamoja na kujua kwamba Yanga walikuwa wame ‘book’ kuishi katika hoteli hiyo iliyo ufukweni mwa Bahari ya Mediterranean, bado na wenyewe walisisitiza kutaka kuishi hapo. Uongozi wa hoteli hiyo uliwasisitiza kwamba hautaweza kuchukua timu mbili kwa wakati mmoja ingawa hoteli...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga ‘Daudi’, Al Ahly ‘Goliath’

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm ametabiri mchezo kati ya timu yake na Al Ahly ni sawa na kisa cha Daudi na Goliath na kuahidi kuishangaza dunia.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga need self-belief to beat Al Ahly

Young Africans chief coach’s confidence on the ability of his players to take on big opponents is a good base for the team’s success against Egypt’s Al Ahly this weekend.

 

11 years ago

Mwananchi

Ahly: Kuitoa Yanga ni bahati tu

Kocha wa Al Ahly, Mohamed Youssef amesifu umakini na nidhamu ya hali juu ya mchezo ilioonyeshwa na wachezaji wa Yanga na kusema ushindi wa timu yake ulikuwa wa ‘ngekewa’ na si uwezo wa uwanjani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani