Al Ahly yazima ndoto za Yanga
Ndoto za Mabingwa wa soka Tanzania bara,Yanga ya Tanzania kutinga hatua ya 16 bora katika Michuano ya Soka klabu Bingwa barani Afrika,imefikia ukingoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 May
Yanga yazima ndoto za Msuva Sauzi
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
NDOTO za mshambuliaji wa timu ya Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, Simon Msuva kucheza soka la kulipwa katika timu ya Bidvest Wits nchini Afrika Kusini zimefutika, baada ya uongozi wa Wanajangwani hao kumzuia mchezaji huyo kuondoka.
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo zililieleza MTANZANIA jana kuwa, maamuzi hayo yalitolewa katika kikao kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilisema...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bDmjSM9kXXYXy*UmQTS8Ha4hkkU6BMQEOWOufkS9TC3cpMnU8z4lOHMb*LUjErM7eQGypzyhD4hLpjt8SGsVwoFHYPbTzAF-/al.jpg?width=650)
Al Ahly watimuliwa hoteli ya Yanga SC
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Yanga ‘Daudi’, Al Ahly ‘Goliath’
11 years ago
TheCitizen24 Feb
Yanga need self-belief to beat Al Ahly
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Ahly: Kuitoa Yanga ni bahati tu