Ahly: Kuitoa Yanga ni bahati tu
Kocha wa Al Ahly, Mohamed Youssef amesifu umakini na nidhamu ya hali juu ya mchezo ilioonyeshwa na wachezaji wa Yanga na kusema ushindi wa timu yake ulikuwa wa ‘ngekewa’ na si uwezo wa uwanjani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Azam kuitoa Yanga kileleni?
Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam itacheza na Mtibwa Sugar Jumatano katika jitihada za kuiondoa kileleni mwa ligi, klabu ya Yanga.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Azam kuitoa Yanga,pia itacheza na Mgambo
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Jumatano katika viwanja viwili nchini Tanzania.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha wa Yanga aishtukia Al Ahly
Kocha wa Yanga, Hans Van der Pluijm amebaini janja ya Al Ahly ya kuifuatilia, lakini yeye atabadili mbinu za uchezaji za timu yake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGaZI2JWlZGZzs2FP-zmMan*MgBFrN1*WokQ4*7hkbleMf3-LSCkPcy-*VAtedNVAnv54Is1XLRNhX9cd0FwJbA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga yashtukia uongo wa Al Ahly
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Hans Mloli
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amewashtukia Al Ahly na kukiri kwamba waliwadanganya Yanga kwa kudai watakuja na winga wao Emad Motaeb, lakini haikuwa hivyo. Al Ahly ilitoa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari vya Cairo kwamba itatua na winga wao hatari Motaeb jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2poO*pOjb6*nPJ4LRHMe59dKChy6381NftZ*H9*S7hsG2dBgrb1ZElki5u7mR3f*C4u6b7GDQMqMvp2WejHGBHF4/IMG_4711.jpg?width=650)
Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16
Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania